mwanamke mwenzenu, mkiwezeshwa mnaweza, sijui wanaume waligoma kumwezesha mama banda mara hii? Pole mama yetu lakini nenda katubu kwa kuruhusu ushoga na kudai haki ya kumiliki ziwa nyasa isivyo halali!
mama getrude mongela alikuja malawi kumpigia debe - atakuwa anahuzunika pamoja naye sasa.
ccm tia maji kichwani kinyozi chadema wanakuja.
Safi sana. Kikwete is Genius! Yule bi mkubwa alishauriwa vibaya sana...No one mess with Tanzania and remain unpunished!
Hizo za mabomu ya machozi.Mbona security wana bunduki za kizamani wanazotumia makampuni ya ulinzi hapa?!.
Unamaanisha haiwezi kutoa uhai au?Mbona security wana bunduki za kizamani wanazotumia makampuni ya ulinzi hapa?!.
unamaanisha haiwezi kutoa uhai au?