unanitaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,178
- 1,045
Huyu si kashafukuzwa tayari?,Anataka nini tena?
Weka picha akifukuzwa
Huyu si kashafukuzwa tayari?,Anataka nini tena?
Kuna mtu alisema Sifa za Prof. Muhuhongo mbona wengi wapo tu mimi ndio nikamtaka huyo aliyeandika atupe tu mmoja mwenye sifa exactly kama za Prof Muhongo japo mmoja tu. Kwani mimi namwona ni msomi na mchapakazi mzuri, straight forward ( bahati mbaya hii watanzania wengi hatujaizoea- ila kama tunataka maendeleom lazima apatikane mtu wa ktutuambia ukweli ahat kama ni mchungu.Kama kiongozi wako mtarajiwa
Ninakubaliana na wewe kabisa mkuu. Kabla ya kusoma bandiko lako nilikuwa nilieleze hilo. Ya Ngoswe aachiwe Ngoswe, Profesa Muhongo hakupaswa kukubali uteuzi wa kisiasa. Kwenye siasa kuna mitego, kuna ulaghai, kuna maadui. Kwenye taaluma hasa ya sayansi, hoja za kule ni utafiti na theories. Mwanasiasa hasogezi pua yake kule. Lakini kwenye siasa...baaaaah! masikini Profesa wa watu kadhalilishwa na watoto wadogo wakiwemo hata wale waliokimbia umande.Angekuwa smart enough angekataa uteuzi wa kisiasa...tazama ulivyomshusha kiheshima!
Wapo wengi tu wenye wasifu kama zake! Yeye siyo wa kwanza.
Alafu mi naona hiyo cv yake ya kawaida tu,taasis za maana hazizidi tatu,je angekuwa mkurugenzi UNHABITAT kama mama TIBAIJUKA ,hajaongoza tasisis kubwa,zinazojulikana na watu wote dunian
Alafu mi naona hiyo cv yake ya kawaida tu,taasis za maana hazizidi tatu,je angekuwa mkurugenzi UNHABITAT kama mama TIBAIJUKA ,hajaongoza tasisis kubwa,zinazojulikana na watu wote dunian
Sawa mkuu nitasoma. Na wewe nikushauri ukasome tena alama za nyakati. Nahisi utapata ufahamu maana naona vibaya kusema juu ya ujinga wako. Maana kichwa chote kimejaa uprofesa muongo.
Kwanini tusiwashangae vichwapanzi wanaompigia debe fisadi kwa vile tu ni PROFESA? Muhongo ni tusi la kitaifa kwa Shahada ya Uzamifu. Mbowe mwenye elimu ya Kidato cha Sita ni mchapakazi mara milioni kuliko huyo Prof Muhongo mwenye utendaji duni kuliko dropout wa chekechea.
Wapo wengi tu wenye wasifu kama zake! Yeye siyo wa kwanza.
Mwizi ni mwizi tu.
Alafu mi naona hiyo cv yake ya kawaida tu,taasis za maana hazizidi tatu,je angekuwa mkurugenzi UNHABITAT kama mama TIBAIJUKA ,hajaongoza tasisis kubwa,zinazojulikana na watu wote dunian
Mimi nilishasoma ndo maana nikayaleta hapa ili kuwasaidia mliojaa pumba kama wewe msome pia ili mtafakari kivyenu na.kuamua kivyenu bila kumtegemea Zitto na Kafulila a.k.a katumbili wawatafunie. Kichwa changu Kama kiprofesali unadhani nani atakuchambulia huu upembuzi!
Fyuuuuuuuuuu. Tazama ulivyo mwenda wazimu. How dare!!! Yan unamfananisha Mbowe mpiga tarumbeta na Muhongo!!Stupid Idiot. Sikushangai sana ndo maana hadi sasa hujaweza kujitambua kwamba wewe ni .nani hapa duniani. Dira yako tu mwenyewe tabu hujui kama unakwenda mbele au kurudi nyuma. Na ndo maana sio rahisi kutofutisha utendaji wa hao wawili. Nakihurumia sana kizazi chako!
Inawezekana ulisoma lkn hukuelewa kitu , ukizingatia kuwa wewe ni mzee wa kukurupuka
Mawazo yako hayawezi kuwa ya profesa we yako ni ya kushangilia maprofesa. You can never think in analytical way now and then. Besides you are below a villager.
Kuna mwendawazimu kama wewe unaehangaika kujikomba kwa fisadi? Shame on you, Watanzania tuna akili timamu na tumetamka bayana HATUMTAKI. Are you deaf? And if you're so desperate kuongozwa na Muhongo mwambie aku-adopt kama mwanae wa kambo...au akuoe kabisa.
Get a bit of a life, loser!
Economic Hit Men huwa wanapambwa sana na mataifa makubwa yenye kuwamiliki!!! jiulize pamoja na sifa zote walizomwagia; amewafanyia nini Watanzania zaidi ya UFISADI na kuwanyima kumiliki Gas na Madini kwa maslahi ya Watu wa Magharibi?... Waafirika wasomi wanatia kinyaa sana ....
Hasira za nini eh mamaaaa. Watakakuniua bureeee baba! Muhongo atawatoa roho walahi!!. Yani wewe ni bonge ya kilaza mazee. Duh ukoo wako una hasara kuwa mburula kama wewe asieweza kufikiri . Poor u. Tazama unajitusi mwenyewe kwa namna ulivyo mpumbavu. Msomi hatukani anajenga hoja. Eleza kwa hoja tukuelewe. Matusi.peleka kwenu ambako hamuheshimiani.
Halaf hujalazimishwa kumkubali Prof wanaomkubali hawatukani na wako mia katika mia na kumi. Hao kumi ndo wajinga na mazoba kama wewe. hutaki jitoe kundini. Stupid loser .
👍👍 that's the truth![/QUOTE
Duh! Sikujua kama nabishana na.wapumbavu namna hii!! Yani wewe sijui umeibukia kutoka shimo gani. Maskini weee haaaaaaa. Kha! Rudi kasome tena. Yan wewe bado sanaaaa. Kijana kajipange then urudi jamvini. Yani.kuendelea na wewe inabidi niwashe TV zote za Tanzania, na radio kwa wakati mmoja ndo halaf ndo uelimike. Utanimaliziaje umeme wangu sasa.