Huyu ndiye Prof. Sospeter Muhongo usiyemjua

Serikali ya China imekubali ombi la Prof. Muhongo la kupewa scholarship 20 kila mwaka kwa miaka 5 kwa vijana wa Tanzania kwenda kuchukua Masters na PhD za Oil & Gas nchini China. Maombi yanatakiwa ubalozini kabla ya tarehe 10 April kupitia Wizara ya Nishati na Madini.

Jamani Vijana Watanzania mliosoma masomo ya Sayansi changamkieni fursa hiyo.
 
Is that what we only get from those contracts to sell the Southern corridor to Chinese people?
 
Is that what we only get from those contracts to sell the Southern corridor to Chinese people?

We nawe!!! What else do u want to get??? Kuna zaidi ya elimu? au unataka upewe hela mkononi? Education is everthying to u ! mfyuuuuuuuuuu, kajipange tena!
 
We nawe!!! What else do u want to get??? Kuna zaidi ya elimu? au unataka upewe hela mkononi? Education is everthying to u ! mfyuuuuuuuuuu, kajipange tena!
Kwa hiyo terms zote za ile mikataba 15 iliyosainiwa na Rais Mchina alipotinga Bongo reward yake ni kusomesha watu hao 100 wakati wao wakiendelea na exploration? That was my question.
 
Kwa hiyo terms zote za ile mikataba 15 iliyosainiwa na Rais Mchina alipotinga Bongo reward yake ni kusomesha watu hao 100 wakati wao wakiendelea na exploration? That was my question.

Na wewe nakuuliza swali! Umesoma ukaelewa kilichoandikwa? ni wapi panaposema Rais wa China katoa Scholarship 10 baada ya kusaini mikataba?? una akili zinajitosheleza kweli wewe? umeshaelezwa ni nafasi alizoomba Muhongo. Ya Rais wa China Muulize Rais wa Tanzania. Au nenda Wizara ya Mambo ya Nje wakupe makubaliano ya Mikataba waliyosainiana!
 
Huyu muheshimiwa ana sifa kibao 4 sure ila alishindwa kujua swala dogo tu eti uaweza vipi kuuza kampuni kubwa lenye hisa kiabao za bilioni zaidi ya 300 kwa milioni 6....nahisi hakusoma hesabu tu kwenye geology yake...
 
Economic Hit Men huwa wanapambwa sana na mataifa makubwa yenye kuwamiliki!!! jiulize pamoja na sifa zote walizomwagia; amewafanyia nini Watanzania zaidi ya UFISADI na kuwanyima kumiliki Gas na Madini kwa maslahi ya Watu wa Magharibi?... Waafirika wasomi wanatia kinyaa sana ....

Umezoea kumilikiwa eh!!
 
Sasa hii ni scholarship au CV ya muongo.

Vijana 20 wa Tanzania kwenda kusoma China Serikali ya China imekubali ombi la Prof. Muhongo la kupewa scholarship 20 kila mwaka kwa miaka 5 kwa vijana wa Tanzania kwenda kuchukua Masters na PhD za Oil & Gas nchini China. Maombi yanatakiwa ubalozini kabla ya tarehe 10 April kupitia Wizara ya Nishati na Madini.
 
Toa na sifa zako tukusikie kwanza halafu ndio tuwatafute hao wengine anaofanan nao!
Mwenye sifa zote ni Mwenyezi Mungu pekee! Mwenye sifa zaidi ya Muhongo ni yule mwalimu wake aliyempa elimu hiyo, bila yeye usingemsifia hivyo!
 
tatizo sio elimu yake, lakini ana uwezo gani wakuiweka kwenye uhalisia wa mazingira yetu,kusoma na kupata marks kubwa ni jambo moja ,ila kutumia hicho ulichojifunza kukiweka kwenye uhalisia wako ndo shida.tuna watu wangapi waliosoma entrepreneurship lakini hawana hata kibanda cha kuuza sigara au mafuta ya taa
 
Back
Top Bottom