kibaa
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 717
- 177
well saidKwani kuna mtu yoyote aliyeamini kuwa huyo ni Yesu?
Hakuna!kama yupo akapimwe Akili.
well saidKwani kuna mtu yoyote aliyeamini kuwa huyo ni Yesu?
Hakuna!kama yupo akapimwe Akili.
bora umewaambia,kupigia magoti sanamu means ni kuliabudu.najua watachukia huu ukweliNi kwl wakristo wanamuabudu hasa roman catholic (rc) hilo wala halina ubishi but mi nashangaa mnakataa nini mimi pia ni mkiristo,kwani mnapokuwa mnaisujudia sanamu yake hapo huwa mnafanya nini?? Jaman someni biblia wakristo wenzangu ili muijue kwl na sio kuabudu misanamu na mapicha ya huyo jamaa
Toa Oja kama sio kweli?Uwezo wako wakufikir ni mdogo sana.
Kubishana na mtu km ww usiejua unachokiandika ni kupoteza muda.
Sio Ushabiki ndugu acha Jazba na Tafakari hayo maneno Usijenge msimamo bila Kujua Ukweli wa Msimamo wako!!We nawe hebu kabla hujapost ujuha wako uwe unauliza, unasoma zaid au unauliza na sio kuja kishabiki...
Anaitwa Brian Deacon
Amezaliwa 13 February 1949 Huko Oxford
Uingereza, Baba Yake Anaitwa Robert Thomas
Deacon Ambae Kitaalamu Alikuwa Fundi
Magari, Mama Yake Anaitwa Eileen Mary
Ambaye Alikuwa Nesi, Brian Deacon Ni Mtoto
Wa 2 Kuzaliwa Ktk Familia Yao, Brian Deacon
Alioa Mke Wa Kwanza Mwaka 1977 Aitwae
Rula Lenska Ambae Amezaa Nae Mtoto
Aitwae Lara Brian Deacon, Lakini Mwaka 1982
Mkewe Alimtuhumu Mumewe Kutembea Nje
Ya Ndoa Na Ndoa Yao Kuvunjika, Alikaa
Miaka 16 Na Hawara Yake Cecy Redknap
Mpenzi Wake Wa Muda Mrefu, Mwaka 1998
Alioa Mke Mwingine Aitwaye Natalie Block
Mpaka Leo Wako Pamoja, Msanii Brian
Deacon Alipata Tenda Ya Kuigiza Ktk Filamu
Kama YESU, Filamu Alizowahi Kushiriki Ni A -
Zed & Two Nought Mwaka 1985, Feather
Seapent Mwaka 1976, Lillie Mwaka 1978 Na
Nk,
Wakristo Wengi Sura Ya Huyu Msanii
Wanaisujudia Ktk Maombi Yao, Ktk
Rozali,BIBLIA,Makanisani Wameweka Sura
Yake, Ndugu Zangu Zindukeni Huko Sipo, Vipi
Msanii Wa Filamu Mumsujudie Ktk Makanisa?
Jamani Enyi Watu Jueni Ukweli huu Mbona Uko wazi kama Jua la Saa 6 Mchana!!!
Wewe unaujua ukweli wa ulichoandika?!!!Sio Ushabiki ndugu acha Jazba na Tafakari hayo maneno Usijenge msimamo bila Kujua Ukweli wa Msimamo wako!!