NAJA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 475
- 163
UNAUHAKIKA NA UNACHOONGEA AU UNAROPOKA TU?Ni kwl wakristo wanamuabudu hasa roman catholic (rc) hilo wala halina ubishi but mi nashangaa mnakataa nini mimi pia ni mkiristo,kwani mnapokuwa mnaisujudia sanamu yake hapo huwa mnafanya nini?? Jaman someni biblia wakristo wenzangu ili muijue kwl na sio kuabudu misanamu na mapicha ya huyo jamaa