hubby u r the bestest! i luv u mo!Nazipokea hongera za my wife cacico kwa niaba yake. Si mnaona navyojua kuchagua? Mbichwa haki yangu bana!
Afu hebu dekshia, pamoja na kuwaomba waendeshaji waniondolee Kongosho asali ya ODM kwenye hili shindano la chipukizi lakini bado kakamata namba mbili........... Angekuwa bado na bikira yake si ingekuwa balaa?
khaaaaaaaaa kwani aje jamani?? umefanyaje?? umefumaniwa na Kiranja Mkuu nini??Hongera cacico mke mwenza, unibembelezee kwa mume wetu jamani anataka kunitaliki
shem wangu wa ukweeeeee! thanx loads, lol! mbichwa umemvimba ulijuajeeeeee?? cjui nafanyaje wallah!Congra the winer lady Cacico!
Sasa hapa Babu huo m'bichwa !! Si ataubeba kwa crane ?
Kwa mujibu wa kura nachukua nafasi hii kutanganza matokeo ya kinyanganyiro cha miss chitchat mwezi augost kama ifuatayo;[Hivyo basi nachukua nafasi hii kumtangaza rasmi miss cacico kuwa miss chitchat
- Catherine kura 1
- CUTE kura 0
- Kongosho kura 2
- beibe nasty kura 3[* cacico kura 9
Nawasilisha
shem wangu wa ukweeeeee! thanx loads, lol! mbichwa umemvimba ulijuajeeeeee?? cjui nafanyaje wallah!
Ruhazwe JR kwangu au hujuialafu kapotea sana huyu mlimbwende,yupo wapi lakini?
Ruhazwe JR kwangu au hujui
kumbe simu ulonipigia leo n kutaka nione jinsi ulivyo nyakua ushindii shostito wangu???? hongera jamani mwaaaaah!
,mdada wangu wa moyoni gfsonwin kwani nimemuona basiiiiii?? nammiss sana, msalimie wallah! nipo shemeji thanx loads, lol!
Ni aje mwalimu mwenzangu,naona kiimya,au na wewe ulikuwako kwa sensa!!?
baba v ni poa mye nipo ila kwasasa nalea ndoa kwanza............... si unajua mwanamke wa kiafrika?
hivi gfsonwin spika alienda wapi? au bado analea mzazi?
dah! umenikumbusha huyu mtu lol! sijui yuko wapi bana mara ya mwisho alikuwa nale mzazi ila pia alisema anakwenda ukweni kwa bi mdogo sijui ndo aklikwenda kuoa b4 mfungo ama vipi sijui.