Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,068
Sijakupa hapo.Huyo atakua ni video model wake kwenye nyimbo mpya maana omy ndio demu!!!!!
Ufafanuzi tafadhali.
Sijakupa hapo.Huyo atakua ni video model wake kwenye nyimbo mpya maana omy ndio demu!!!!!
Aisee! Mwalimu kwanini?Yani nna allergy na huyu mtu hata kumuona huwa sipendi....
Huyu ni sukari ya wakaka
Sijakupa hapo.
Ufafanuzi tafadhali.
Aisee! Mwalimu kwanini?
Ukimuona inakuwaje macho yanavimbaa auu!!???
Naona kama nimemuona mke mwenzangu lol....
Naona kama nimemuona mke mwenzangu lol....
Omy ndio demu hujaelewa niniiii
Chakula analiwa kwa uma, kijiko na kisu....hivi ni kweli huyu mtoto analiwa kama mboga?
Chakula analiwa kwa uma, kijiko na kisu....
Juzi kati kuna mademu tulikuwa nao kwenye party wakawa wanamuongelea jamaa demu mmoja akasema jamaa ana busha ndo maana haangaiki na mademu hapa daslam
ommy dimpoz ameshare picha kwenye instagram akiwa na mrembo ambaye hata hivyo hajafafanua kama ni mpenzi wake ama rafiki tu.
Itabidi nianze kuifuatilia hii issue,hasa kwenye mwendo wake!!!!
Basi tu yani sijawahi kumkubali hata sekunde
afu namchukia tu bila sababu...
Hil vaz lake la juu na pozi kwa kweli sijaelewa au ndo poz kwa poz
Basi tu yani sijawahi kumkubali hata sekunde
afu namchukia tu bila sababu...