Huyu ndiye Mbwiga wa Mbwiguke

Huyu ndiye Mbwiga wa Mbwiguke

Ndugu yangu licha ya presentation yako iliyojaa nakshi ya kisanii (artistic) lakini hueleweki; jaribu kufafanua hasa wataka watu wapate ujumbe gani kuhusu huyo Mbwiga wa Mbwiguke. Hutapoteza chochote kama utafanya ufafanuzi, na si ajabu ukapata michango bora ya mawazo kuliko sasa kila mchangiaji anakushangaa. Usikurupuke kuweka post, jipange halafu weka. Ni ushauri tu, ukipenda uchukue ukipenda endelea hivyo hivyo hovyo hovyo!!!!

from the psychological point of view nmegundua mama mdogo na unastress sana hvyo basi unataka umalzie hasira zako kwangu, by the way mbna lengo la thread yangu lipo wazi na kutoielewa kwako ni labda sio mfuatiliaji wa mpira wa miguu. Kwa kukusaidia huyo mbwiga ni mchambuzi wa mpira wa miguu sanasana kwa mechi za zamani kwa mtindo wa uchekeshaji, uktaka kumfahamu zaidi sikiliza kipindi cha sports xtra clouds fm saa 3 ucku.
 
Ndugu yangu licha ya presentation yako iliyojaa nakshi ya kisanii (artistic) lakini hueleweki; jaribu kufafanua hasa wataka watu wapate ujumbe gani kuhusu huyo Mbwiga wa Mbwiguke. Hutapoteza chochote kama utafanya ufafanuzi, na si ajabu ukapata michango bora ya mawazo kuliko sasa kila mchangiaji anakushangaa. Usikurupuke kuweka post, jipange halafu weka. Ni ushauri tu, ukipenda uchukue ukipenda endelea hivyo hivyo hovyo hovyo!!!!
ahahahah mama mdogo......
huyu jamaa mbwiga ni jamaa mmoja ana maneno kama 1000 kwa sekunde huwa anakuja kumalizia kila mwisho wa kipindi spoti cha redio clouds......
 
Yaani mimi huyujamaa ananiachaga hoi mno,huwakilasiku najitahidi kumsikiliza vibweka vyake!!!<!-- google_ad_section_end -->
Hapo kwenye bold ni lugha ya akina HAKUNAGA​
 
Ni nani na kwanini ni mbwiga? tuwe magreat thinker wa ukweli maana kwa mtu anayefikiria hawezi kupost bila kutoa maelezo yanayojitoleza, yaani hapo ulichofanya ni kama kuandika ktk album yako ambayo wewe pekee ndiye unayejua kwanini uliamua kuandika vile.

ww kilaza kweli yani atakumjadili mbwiga unaleta mambo ya u'great thinker
 
mbwiga%255B1%255D.jpg



mbwiga
 
Hamjui kusoma jamani?si mmeambiwa huyo hapo mwenye jezi ya Azam!!!Huyo kumsikia vituko vyake sikiliza Clouds Fm michezo saa 3 usiku mpaka saa 4 ,sasa pale mwishoni ndio huwa anaachiwa achekeshe!Sikiliza kuanzia saa 4 kasorobo hivii.Belivdat


Mimi badala ya kucheka niliishia kumshangaa tu maana niliwahi kumsikiliza sikumuelewa, jamani hata kama ni comedy lazima ziwe na context sio kuongeaongea tu kama vile unajaribu kuchekesha vichaa.
 
Ww utakuwa unamatatzo mbna anaeleweka
Mimi badala ya kucheka niliishia kumshangaa tu maana niliwahi kumsikiliza sikumuelewa, jamani hata kama ni comedy lazima ziwe na context sio kuongeaongea tu kama vile unajaribu kuchekesha vichaa.
 
Ndio una matatzo.. Na kama hauna basi utakuwa sio mfuatiliaji wa soka la kibongo
Kwa hiyo nisipomuelewa MBWIGA WA MBWIGUKE nina matatizo? anaeleweka! unamwelewa?
 
Waongo acheni unafiki bana, ndo mungu alichomjalia naye apate ridhiki yake na wategemezi wake, kama ilivyo kwenu. Very sad kwa huku tunakoelekea sasa wa tz, mana kila mtu kwetu ni kumkosoa hata visivyo na sababu vingine, mbona hawa wakaa uchi mnaangalia sinema zao, lil wayne mnamuelewa? Mbona mnamshobokea sasa! Acheni ujinga wenu
 
Jamaa anajua kutoka nje ya mada.
Ataanza na stori ya yanga alaf ataenda timu ya taifa atakupa stori za chui mbwa ndege njiwa samaki mandazi karanga alaf atarudi Yanga
Yeye mbwiga mbwiguke Yanga anawaita wazee wa "Kualar Lumpa Malaysia".... Namkubali sana ,sema bado hajakitumia kipawa chake vizuri maana angepiga hela nzuri tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom