MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Naona haitaki. ina tokea tu link.
Dah babu ushakuja na mambo yako ya Mipasho.Kwani lazima uchangie thread hii mazee.Kama vp waona yakuzingua sepa tu kwenye mathread mengine aiseeMmh kijiwe cha majungu....Kama ni ndiye au siye inatuhusu nini hapa NN?
Sasa hivi inaoneka vizuri aisee...JM=Andunje?????????Huyo katikati, kwa mujibu wa Michuzi, ndiye John Mashaka..
Mkuu,Dah babu ushakuja na mambo yako ya Mipasho.Kwani lazima uchangie thread hii mazee.Kama vp waona yakuzingua sepa tu kwenye mathread mengine aisee
Ila mashori wanamzimia kichizi kudadadeki......Sasa hivi inaoneka vizuri aisee...JM=Andunje?????????
Ila mashori wanamzimia kichizi kudadadeki......
Oh,yeah..Ni kama hiyo uliyokuja nayo kwenye thread hii..Kama thread haikuvutii iache mazeeMkuu,
Heshima mbele, unajua mipasho wewe?
% kubwa ya mashori wa bongo hamnazo kichwani yaani ni mbumbumbu mawazo yao yapo kwenye Reds na mawigi wanayoyavaa......Ila kuna dizaini flani ya mshori ndio wanaomzimia. Ni wale mashori ambao hawajapandisha shule....huyu jamaa hawezi kumpiga fix shori aliyeenda shule na simulizi zake za Wall Street ya Charlotte, NC....
OK.Naona wewe ndio umekuja na style ya vidole juu kabisa.Oh,yeah..Ni kama hiyo uliyokuja nayo kwenye thread hii..Kama thread haikuvutii iache mazee
YoYo,NN,MwanaFalsafa1,na Blantanda wekeni picha zenu hapa na nyie tu wajadili kidogo,maana naona nyie ni mahodari sana wakuwachambua watu.
Dah...kama hayati Omari Kopa vile.....lolYoYo,NN,MwanaFalsafa1,na Blantanda wekeni picha zenu hapa na nyie tu wajadili kidogo,maana naona nyie ni mahodari sana wakuwachambua watu.
tatizo lako na wewe ni upeo mdogo.......arrrrrg Yo yo ni tofauti na wall street guru j mashaka...Yo Yo ni pen name......YoYo,NN,MwanaFalsafa1,na Blantanda wekeni picha zenu hapa na nyie tu wajadili kidogo,maana naona nyie ni mahodari sana wakuwachambua watu.
Bwa..ha....bwa..haOK.Naona wewe ndio umekuja na style ya vidole juu kabisa.
% kubwa ya mashori wa bongo hamnazo kichwani yaani ni mbumbumbu mawazo yao yapo kwenye Reds na mawigi wanayoyavaa......
YoYo,NN,MwanaFalsafa1,na Blantanda wekeni picha zenu hapa na nyie tu wajadili kidogo,maana naona nyie ni mahodari sana wakuwachambua watu.
labda ndio huyo mwenye skafu ya baridi....wtf wabongo bana.....sasa ona lijitu kama hilo lingine skafu na hili joto....copy from majuu hii....A Halafu wewe mbona umekuwa sensitive kihivyo? Upo kwenye hiyo picha nini?
Hakuna haja ya kusubiria Michu abandike pic yako,weka sasa hivi tujadili,kama wewe ni mrefu au ni mfupi...Arooo siku na mimi ukiiona picha yangu imebandikwa kwa Michuzi rukhsa kunijadili....
Halafu wewe mbona umekuwa sensitive kihivyo? Upo kwenye hiyo picha nini?
Teh teh...Labda ndo huyo mwenye kofia na mtandio shingoni na viatu vya ngozi ya chatu...Arooo siku na mimi ukiiona picha yangu imebandikwa kwa Michuzi rukhsa kunijadili....
Halafu wewe mbona umekuwa sensitive kihivyo? Upo kwenye hiyo picha nini?