Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Waziri......................?hahahaha
Mi nikajua waziri maana anatajwa sana huyu
Waziri......................?hahahaha
Jamaa alipewa vidonge vyake IG....teh watu wana habari za watu duh
Naomba nikufollow IG
"Anatongoza kila mtu akikutongoza usijione beyonce, jamaa anayongoza hadi mbuzi kwako atashindwa nini"
ha ha ha ha nilicheka kwakweli...
Nini kitafungwa?sijaelewa...Si kasema ataifunga ijumaa?
Au anapima pressure ya wambea??
Nini kitafungwa?sijaelewa...
teamukwelinauwazi
mmh mbona ipo na umbea unamwagwa kama kawaida...
penny ndio nani?
,kweli jf ni stress free zone.watu mnaongea dah.cheka sana post zenu na muuza surahahaha eti anakazwa kibingwa kukazwa ni kukazwa tu
waziri wa mambo ya ndani ya diamondHuyu penny ni waziri wa nini?
Follow me, I will follow you back....
acheni ubaguzi wa kijinsia anakazwa aua wanakazana
Jamaa alipewa vidonge vyake IG....teh watu wana habari za watu duh
Huyu penny ni waziri wa nini?
Anajiita Rumishael Mamkuu Shoo lakini jina lake halisi ni Rashid Jabu, ni Mzanzibar.
Jamaa alianza kwa kudalalia used smartphone baadae akakutana na jimama moja liko Ikulu pale akaingizwa kwenye mchongo wa sembe.
Kwa taarifa tu, Huyu kijana ana utajiri mkubwa usiofanana na umri wake. Na hata sembe alilodakwa nalo Masogange na Melissa Edward ulikuwa ilikuwa yake na kijana mmoja anaitwa Nassoro Mangunga.
Melissa ni demu wa Rummy na Masogange ni demu wa Nassoro ambaye wengi humtambua kama short kutokana na ufupi wake.
Ova
your username?
ujanja wao instagram na majina feki ila uso kwa uso hawaniambii kitu!....huyo boss wao hii namba anaijua!..hao watabaki kuita watu mashemeji wanaomkaza boss wao!kijitu kama petit man au lile kubwa jinga kama bwabwa tin dad au shoga kadinda wataniambia nini!!....mimi mang'aa nayewaektia utozi