Huyu ndio mpenzi mpya wa Penny

Anajiita Rumishael Mamkuu Shoo lakini jina lake halisi ni Rashid Jabu, ni Mzanzibar.
Jamaa alianza kwa kudalalia used smartphone baadae akakutana na jimama moja liko Ikulu pale akaingizwa kwenye mchongo wa sembe.
Kwa taarifa tu, Huyu kijana ana utajiri mkubwa usiofanana na umri wake. Na hata sembe alilodakwa nalo Masogange na Melissa Edward ulikuwa ilikuwa yake na kijana mmoja anaitwa Nassoro Mangunga.
Melissa ni demu wa Rummy na Masogange ni demu wa Nassoro ambaye wengi humtambua kama short kutokana na ufupi wake.
Ova

Duh... watu mna data aisee!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom