Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,245
- 2,856
amenipa ban ya miezi 2 hadi nimesajiri id mpyaa
@Ivisible kamata huyu.
amenipa ban ya miezi 2 hadi nimesajiri id mpyaa
Wadau,
Kila mtu ajaribu kumvutia picha Moderator maarufu hapa jamiiforums, bwana mdogo Invisible. Tafadhali Invisible usinipige ban.
Mi nafikiri Invisible atakuwa Mweusi, mfupi, ana kitambi kidogo halafu ana mzuzu wa kiustadhi kidevuni.
1. Wewe unadhani Invisible ana muonekano upi?
2. Anapendelea nini?
3. Huwa anavaaje?
n.k
Posted by: SUPU YA MAWE (PhD Holder)
Sasa Mbona Kama Vile Unajipendekeza Kwake? Naomba Kujua Jinsia Yako Tafadhali!
Sasa Mbona Kama Vile Unajipendekeza Kwake? Naomba Kujua Jinsia Yako Tafadhali!
Hehehe. Huyu ndio SUPU YA MAWE.
Njoo kimboka mtoa mada, maisha bwerereee
Gadem....!!!!!!!
Akikasirika ni ban hiyo usithubutu kukutwa.Najiuliza hivi Invisible analipwa ???? Anajibu inbox kwa upole na unyenyekevu wa hali ya juu. Sijajua akikasirika inakuaje
Dada habari ya February...?