TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,514
- 11,277
Of course he can't..Can he run quickly with that weight and big stomach, as soldiers do?
Of course he can't..Can he run quickly with that weight and big stomach, as soldiers do?
Soon atarudi kuwa RPC.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
Tutavumilia haya hata vizazi na vizazi ila kuna siku hakimu muda atahukumu
Umenitenga sana mkuuSoon atarudi kuwa RPC.
Amelaaniwa Amtegemeaye Mwanadamu
Mliojivunia ukatili wake mna jambo la kujifunza
Mungu hadhihakiwi
Sote ni Binadamu
Mungu wa Hasira hawai wala hachelewi
Acha atangulie akahukumiwe inavyostahili
A
Mshahara wa Dhambi ni....
Utabiri wako umetimiaMuda ni mwalimu mzuri sana.
Tutavumilia haya hata vizazi na vizazi ila kuna siku hakimu muda atahukumu
Na mibunduki yake ALLAH amemtwaa
Karma imejibu.Muda ni mwalimu mzuri sana.
Tutavumilia haya hata vizazi na vizazi ila kuna siku hakimu muda atahukumu
Aisee. Ngoja nijizue kusema maneno mengi
Kiboko ya nani sasa? Mwambie alete tena haya majidai yake
Wacha weeeHa ha ha ha kamanda huyu hatariiii
We jamaa ni mwana maonoMuda ni mwalimu mzuri sana.
Tutavumilia haya hata vizazi na vizazi ila kuna siku hakimu muda atahukumu
Na kweli tunamiss...gone too lateArusha inamuhitaji sana .imemiss