Huyu ndege anaitwaje?

Bwana Afya ndugu yake Fisi

Marabou Stork (Leptoptilos crumeniferus)
 
Usjali mkuu, hiyo ni kawaida kwa wanaume wa huo mkoa maana wengine wanaogopa hata mjusi...teh


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaitwa "Bwana Afya" kwa mara ya kwanza niliwaona Mwanza.
Jamaa yangu alikuwa anajuwa wanaliwa, siku alipomuona kwa ukaribu aliogopa sana maana wanamakovu na ngozi imelegea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…