Huyu Naibu Waziri TAMISEMI awe Waziri kamili, kama ilivyofanyika kwa Makonda

Huyu Naibu Waziri TAMISEMI awe Waziri kamili, kama ilivyofanyika kwa Makonda

blogger

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2012
Posts
13,376
Reaction score
16,689
Ni mchapakazi. Mambo yake yako Wazi. VIDEO


Kwako samuya..
 
Isije tu ikawa wewe mtoa mda ndiyo huyo Naibu Waziri mwenyewe. Natoa hili angalizo kwa sababu kuna Kamanda mmoja anaitwa Henry Kilewo, kuna wakati aliwahi kujipakulia minyama humu jukwaani; halafu siku ya siku akaishia tu kuumbuka.
 
Isije tu ikawa wewe mtoa mda ndiyo huyo Naibu Waziri mwenyewe. Natoa hili angalizo kwa sababu kuna Kamanda mmoja anaitwa Henry Kilewo, kuna wakati aliwahi kujipakulia minyama humu jukwaani; halafu siku ya siku akaishia tu kuumbuka.
Mambo yake yako hadharani. Mimi Wala waziri wa TAMISEMI simjui.
 
Anapambana kujionesha ili aaminike zaidi kuliko bosi wake lengo lake akikalie kiti, ni mlafi tu wa madaraka hana lolote na mbwembwe zake asitudanganye
Hamnaga jema !
 
Ni mchapakazi. Mambo yake yako Wazi. VIDEO
View attachment 3527493

Kwako samuya..
Kati ya viongozi ambao naona ni wababaishaji anayetaka aonekane kwa watu ni mchapa kazi ni huyu.
Inawezekana anajitoa ufahamu kujifanya hajui kuwa nchi hiyo Rais asipokuwa imara hata viongozi wa chini yake wanakuwa dhaifu.
Tatizo la miradi mingi kutokutekelezeka ni uhaba wa fedha.
Siku hizi hakuna mkandarasi anayelipwa kwa wakati.
Halafu yeye huyu anafika mahali anakurupuka kuwasimamisha kazi watumishi wa umma bila kufanya utafiti kwanza.
Hajiulizi kwa nini watendaji bora kama akina Msechu (Msajili wa Hazina) na Awesu wamenyamaza baada ya kugundua kuwa hawana vitendea kazi vya kuwawezesha kuonyesha uwezo wao.
Awesu ameshuka kiwadhifa hadi akawa Mpanga ratiba ya mgao wa maji jiji la Dar.
 
Back
Top Bottom