kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,571
- 1,782
Mwanamke asiye jari ni mtu anaechukulia kila kitu kawaida hata kama we unamaanisha yeye anachukulia kawaida sijui nimuweke kundi gani mpaka najilaumu kumpenda maana nahisi mapenzi nimeyabeba mimi tu nishaurini nifanyeje ili niishinae kwa amani?nikituma text ye anajibu kifupi tu hivi ndo mnaishi nao hivi hawa Viumbe?