kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,621
Da nimecheka sanauko mbioni kumfira mtu
Da nimecheka sanauko mbioni kumfira mtu
I thought at the first place angem-block kabisa apotelee huko.. Yeye kaanza kum entertain, Mungu saidia kizazi chetu cha watoto wa kiume.Anatia mashaka huyu, hadi nimeanza kuhisi ana "uraia wa nchi mbili "
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli tumuombe Mungu tuu.I thought at the first place angem-block kabisa apotelee huko.. Yeye kaanza kum entertain, Mungu saidia kizazi chetu cha watoto wa kiume.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kishenziuko mbioni kumfira mtu
Alishaliwa huyo, maelezo yake yanajichanganyaDogo mbona chat yako na wewe kama umeshakubali asee. Unaanzaje kumjibu kilaini hivyo? Kweli unajibu mara i am new to those things, mara i don't know were to start......
Asee mbona kama umeshaisha habari yako. Kama kweli hutaki huo wazimu kuwa firm asee, mwanaume anashikaje huo muwa wako, yaani mnakuwa mnaongea nini au mnafanya nini hadi ashike huo muwa? Asee we cheka na nyani tu alafu utaona utakachovuna. We unadhani kuna anaekubali tangu mwanzo au anafundishwa?
Asee umenisikitisha sana. Heku komaa dogo acha hizo mambo. Mtukane matusi ya nguoni akukome na kama huyajui mtukane hata Kiswahili akaangalie kwenye dictionary huko.
Unajua hata wanawake wengi mara za kwanza wanakuwaga kama wewe, ni hawataki ila majibu yao na kuendekeza mawasiliano na mabaharia wanajikuta wameachia na wana fall in love.
Na kwa taarifa yako usidhani we mjanja saaaaana kuwa utaishia kumgonga yeye amini nakwambia utamgonga ila nawe atakugonga
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa response yake Iko open sana jamaa katiki huyuDogo mbona chat yako na wewe kama umeshakubali asee. Unaanzaje kumjibu kilaini hivyo? Kweli unajibu mara i am new to those things, mara i don't know were to start......
Asee mbona kama umeshaisha habari yako. Kama kweli hutaki huo wazimu kuwa firm asee, mwanaume anashikaje huo muwa wako, yaani mnakuwa mnaongea nini au mnafanya nini hadi ashike huo muwa? Asee we cheka na nyani tu alafu utaona utakachovuna. We unadhani kuna anaekubali tangu mwanzo au anafundishwa?
Asee umenisikitisha sana. Heku komaa dogo acha hizo mambo. Mtukane matusi ya nguoni akukome na kama huyajui mtukane hata Kiswahili akaangalie kwenye dictionary huko.
Unajua hata wanawake wengi mara za kwanza wanakuwaga kama wewe, ni hawataki ila majibu yao na kuendekeza mawasiliano na mabaharia wanajikuta wameachia na wana fall in love.
Na kwa taarifa yako usidhani we mjanja saaaaana kuwa utaishia kumgonga yeye amini nakwambia utamgonga ila nawe atakugonga
Sent using Jamii Forums mobile app
he he he he he [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Endelea kuchat nae ivyo ivyo maana unapoelekea unatafuta kitu wewe.
Tofaut ya kumkataa haraka na taratibu ni nini? Kwan ukimkataa taratibu utapata faida gani? We endelea kula sahani moja na shetani
Kwa uandishi wako sikujua kama unaweza kutoa koment mzito hivi.
Nishamkataa tyr mkuuKwa uandishi wako sikujua kama unaweza kutoa koment mzito hivi.
Zaidi ya pesa nini kinakushinda kumkatalia huyo mzungu hata umtukane na uachane nae kabisa unamjibu kizembe zembe hivi? ...
Mi nilijua kuna unachotaka kuchota hapo.......
Tena ukicheza nae utaliwa wewe...kuna jamaa miaka imepita aliliwa staili hiyo hiyo yako.