Huyu mzungu too much...

Huyu mzungu too much...

future lawyer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2020
Posts
434
Reaction score
443
Habari wakubwa natumai nyote wazima ,

Ndugu yenu nina kisanga kikubwa kutoka kwa mzungu , nilimfahamu kupitia social media ambapo yeye ndiye aliyeanza kunitumia text nilivyoiona nilijubu bila kitete . Maswali yakawa mengi ananiuliza mimi bila ya kujua najibu tu nikaomba picha yake ili nimuone maana hakuweka profile picture hakusita akaituma kuiangalia ni mwanaume .

Moyoni nikajisema atakuwa mtalii tu anahitaji aelekezwe mazingira . Akaniomba namba yangu huku akiniambia anataka kuja Tanzania kutalii pia ikiwezekana tuonane maana tulikua tukiwasiliana sana. Sasa huyu mzungu kafika na tabia zake sizielewi anavi_element vya ushoga ushoga mara anisifie ashike muwa wangu anasema ananipenda (GAY) . Mimi ni kijana ninaye ijua dini nimejaribu kumuelekeza kuwa sijawah kufanya iko kitendo na siwezi anasema nitaweza tu nakaniganda kweli

MSAADA WENU WAKUU NIFANYE NINI
 
Dogo mbona chat yako na wewe kama umeshakubali asee. Unaanzaje kumjibu kilaini hivyo? Kweli unajibu mara i am new to those things, mara i don't know were to start......

Asee mbona kama umeshaisha habari yako. Kama kweli hutaki huo wazimu kuwa firm asee, mwanaume anashikaje huo muwa wako, yaani mnakuwa mnaongea nini au mnafanya nini hadi ashike huo muwa? Asee we cheka na nyani tu alafu utaona utakachovuna. We unadhani kuna anaekubali tangu mwanzo au anafundishwa?

Asee umenisikitisha sana. Heku komaa dogo acha hizo mambo. Mtukane matusi ya nguoni akukome na kama huyajui mtukane hata Kiswahili akaangalie kwenye dictionary huko.

Unajua hata wanawake wengi mara za kwanza wanakuwaga kama wewe, ni hawataki ila majibu yao na kuendekeza mawasiliano na mabaharia wanajikuta wameachia na wana fall in love.

Na kwa taarifa yako usidhani we mjanja saaaaana kuwa utaishia kumgonga yeye amini nakwambia utamgonga ila nawe atakugonga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mwenyewe ni kama demu....Hayo majibu yako kama ya binti bikra anayetongozwa anajibu "mi sijawai kufanya itakuaje"? Kwani inauma?

Naomba kusema hata kama utachukia ni kuwa na wewe ni shoga Ila bado hujaanza...Hii ni kwa mujibu wa hizo txt zako


Ahsanta
 
Dogo mbona chat yako na wewe kama umeshakubali asee. Unaanzaje kumjibu kilaini hivyo? Kweli unajibu mara i am new to those things, mara i don't know were to start......

Asee mbona kama umeshaisha habari yako. Kama kweli hutaki huo wazimu kuwa firm asee, mwanaume anashikaje huo muwa wako, yaani mnakuwa mnaongea nini au mnafanya nini hadi ashike huo muwa? Asee we cheka na nyani tu alafu utaona utakachovuna. We unadhani kuna anaekubali tangu mwanzo au anafundishwa?

Asee umenisikitisha sana. Heku komaa dogo acha hizo mambo. Mtukane matusi ya nguoni akukome na kama huyajui mtukane hata Kiswahili akaangalie kwenye dictionary huko.

Unajua hata wanawake wengi mara za kwanza wanakuwaga kama wewe, ni hawataki ila majibu yao na kuendekeza mawasiliano na mabaharia wanajikuta wameachia na wana fall in love.

Na kwa taarifa yako usidhani we mjanja saaaaana kuwa utaishia kumgonga yeye amini nakwambia utamgonga ila nawe atakugonga

Sent using Jamii Forums mobile app
anisukume tope ? kmk ashindwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom