Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,677
- 5,029
Umepigwa buku 3?Hayakuta ndo maana unasema hivyo
Wanaanza kidogo kidogk unashangaa unepigwa
Online scam is real
Umepigwa buku 3?Hayakuta ndo maana unasema hivyo
Wanaanza kidogo kidogk unashangaa unepigwa
Online scam is real
Hawajanipiga hata miaUmepigwa buku 3?
AitheeHawajanipiga hata mia
Nilikuwa nacheza nao tu kiakili
Niliwatch movie ya Nobody's a fool nikaanza kuelewa mchezo mzma wa hawa fraudsters
Hayaja kukuta ndo maana unasema hivyo
Wanaanza kidogo kidogk unashangaa unepigwa
Online scam is real
Kuna mtandao fulan wa majuu huko mm ni mwanachama wa kudumu Mara nyingi nachangiaga mada kadha wa kadha japo kizungu changu sio kizuri sana but naeleweka hivyo hivyo kibishi
Last month nkakuta comment ya mzungu fulan kutoka US she like to support me emotionaly nkashidwa kuelewa
Nkaona ngoja nimtafute Mara oooh kanitumia emails nyingi sana she just want to be in touch with me
Hizo hapo chini ndio zilikuwa email zake nimesreenshoot
Hizo picha ni za watoto wake na wajukuu zake
Hebu nipeni ushauri hivi ni really au mnageria tu ananiletea upimbiView attachment 1380919View attachment 1380920View attachment 1380921View attachment 1380925
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana njia nyingi na victims huwa ni wanawake sana sana
Kama moja hivi huyo mwanaume anajifanya amefiwa then hana mtoto and he works in an oil rig ,
Anakutafuta akiomba uwe mpenzi wake then unakataa lkn anaforce hivi , baada ya siku chache anakuandikia maneno mazuri mno anakuambia anakutumia zawadi kama iPhone 11 , iPad , Clive perfume na some jewelries ,
There after anakupa consignment ID uwe unatrack mzigo ,Unashangaa mzigo umeingia courrier service wakakutafuta then unaambiwa mzigo umefika ila unatakiwa utolewe clearance fee km 750 dollars.
Baadae unapigiwa simu wanajifanya mzigo wako upo u need to pay wanapofeli ni kusema unalipa kwa tigo pesa hapo ndo unaona this is bullshit . Ukituma hiyo hela hamna cargo wala nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh ni kweli haitakiwi kabisaHapo ndio tatizo linapoanza, kuongea na strangers kama ndugu
Tena afadhali wanaoibiwa na kutapeliwa
Wapo serial killers wanaokutumia na tickets kabisa au wanakuja na kuchinja kabisa
Kwa kweli Kuna mengine ni kuwa muangalifu na urafiki wa mitandaoni
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ooh
Ooh ni kweli haitakiwi kabisa
UMEINGIA ANGA ZA I'M YAHOO BOYSKuna mtandao fulan wa majuu huko mm ni mwanachama wa kudumu Mara nyingi nachangiaga mada kadha wa kadha japo kizungu changu sio kizuri sana but naeleweka hivyo hivyo kibishi
Last month nkakuta comment ya mzungu fulan kutoka US she like to support me emotionaly nkashidwa kuelewa
Nkaona ngoja nimtafute Mara oooh kanitumia emails nyingi sana she just want to be in touch with me
Hizo hapo chini ndio zilikuwa email zake nimesreenshoot
Hizo picha ni za watoto wake na wajukuu zake
Hebu nipeni ushauri hivi ni really au mnageria tu ananiletea upimbiView attachment 1380919View attachment 1380920View attachment 1380921View attachment 1380925
Sent using Jamii Forums mobile app