Kv-london
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 2,816
- 4,805
Kuna mtandao fulan wa majuu huko mm ni mwanachama wa kudumu Mara nyingi nachangiaga mada kadha wa kadha japo kizungu changu sio kizuri sana but naeleweka hivyo hivyo kibishi
Last month nkakuta comment ya mzungu fulan kutoka US she like to support me emotionaly nkashidwa kuelewa
Nkaona ngoja nimtafute Mara oooh kanitumia emails nyingi sana she just want to be in touch with me
Hizo hapo chini ndio zilikuwa email zake nimesreenshoot
Hizo picha ni za watoto wake na wajukuu zake
Hebu nipeni ushauri hivi ni really au mnageria tu ananiletea upimbi
Sent using Jamii Forums mobile app
Last month nkakuta comment ya mzungu fulan kutoka US she like to support me emotionaly nkashidwa kuelewa
Nkaona ngoja nimtafute Mara oooh kanitumia emails nyingi sana she just want to be in touch with me
Hizo hapo chini ndio zilikuwa email zake nimesreenshoot
Hizo picha ni za watoto wake na wajukuu zake
Hebu nipeni ushauri hivi ni really au mnageria tu ananiletea upimbi
Sent using Jamii Forums mobile app