Huyu mzee ni soooo!,

Huyu mzee ni soooo!,

sekulu

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
988
Reaction score
158
Nimependa sijui kama hi ku Hug, Ama walikuwa wanakata RhumbA! au sijui walikuwa wanaambizana Nini!
 

Attachments

  • IMG_0637.jpg
    IMG_0637.jpg
    78.3 KB · Views: 751
Hapo katabasamu? Au! Hatengenezeki huyu babu, Khaa!!
 
wote walitoka dar na kwenda BUKOBA kukumbatiana kama vile watu ambao hawajaona miaka miwili
mbona kama wanafuraha ya ziada,
harafu kama mama kajishusha vile utadhani huyo mbunge wa bunda ni bosi wake,
ngoja niwachimbe kunakitu hapa


MZEE WA GORILLA UNITY
 
si unajua tena mwanamke wa kihaya akikukataa,ina bidi ukaoge maji ya magadi ili kutoa nuksi!
 
yaani ni km kitu flani hivi wanankikumbukia au walishawahi kuwa na ka bondage flani hivi kama ni kazini au biashara au ushkaji tu wa karibu, wanaonekana wenye bashasha saaaaaaaaana!!
 
Mama si unajua hana mume huyo, anaweza kuwa na njaa ya "NANINO"
 
Halafu mbona kama wapo nyuma ya nyumba? huyu mzee sio mchezo!
 
Mambo ya wakubwa hayo.watoto mnafanya nini huko..mi napita tu..nipepotea njia.
 
na jamaa pembeni mbona camera mbili mbili?
 
Back
Top Bottom