Huyu mwanaume ni balaa......

nazjaz umeshaachana na husband?maana topic yako ya nyuma,ulisema una mume anakupa kila kitu.leo una chombo kipya.mmmh

Sifa alizozitaja kuhusu huyo mwanaume zinatosheleza kujibu swali lako. Kwa kifupi Nazjaz mwanaume akiwa na muonekano mzuri, awe na pesa na awe anapenda kuzitumia kwenye starehe kama huko visiwani waliko hivi sasa, basi atampata tu! Na wanawake wa aina hiyo hapa mjini wako wengi sana! Bila kujali kama wameolewa au lah, wao pesa na starehe toka kwa mwanaume ni vigumu kuviruka!
 
We Naz usi2chefue,inaelekea hujafundwa..kama unampenda huyo m2 ungekuwa mstaarabu kutafuta ushaur in a private way co kuanika mambo ya chumban kwny Jf .JIHESHIMU NACC UTAKUHESHIMU.
 
 
<br />
<br />
Haya mambo ya kunianika hadharani jamani sio mazuri, tungelijadili kwanza tukubaliane kama tunaliweka public or no.
 
Well said
Kunywa maji ni muhimu sana si chini ya lita 3 kwa siku.

Asiwe anabania kwenda chooni to open his bowels na si chini ya mara moja kwa siku.Kama anamatatizo ya kwenda chooni inabidi aangalia anakula vyakula vya aina gani.

Pia awe anakula taratibu na sio anakula kama anakimbizwa.

Kuna watu wengine wakiwa wamelala wanaface roof wanangoroma kama tractor lakini wakilala kwa ubavu wanangoroma kama kawaida.Wengine wasipo tumia mto pia wanakuwa na hilo tatizo.Ni wewe mwenyewe kumsaidia kuchunguza.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Haya mambo ya kunianika hadharani jamani sio mazuri, tungelijadili kwanza tukubaliane kama tunaliweka public or no.
<br />
<br />
Alaa kumbe ni weye sheikh? Eid Mubarak!
 
lol! tafuta ear plugs uwe unatumia. kuhusu farting, sina hakika kama kuna muffler salama kwa bin adam,hebu google.
 
We Naz usi2chefue,inaelekea hujafundwa..kama unampenda huyo m2 ungekuwa mstaarabu kutafuta ushaur in a private way co kuanika mambo ya chumban kwny Jf .JIHESHIMU NACC UTAKUHESHIMU.
<br />
<br />
Naz jaz na huyo bwana wake wote wanaishi disney kwenye cartoons world
 
ukipenda hizo ndizo raha za kukwepu kwepua na huo ndio msalaba wako
 

Hapo kwenye red kuwa makini isije kuwa misuli imelegea kwa ajili ya kupumuliwa kisogoni
 
Best,unge2mia tafsida.c vzr sir za mwenza wako kuweka ivo.mbna hujsemi zako unaanka vya mwenzio.kuwa makini
 
mmmh! Kujamba hata mbele za watu,duuh tena kwa sauti? Kaz unayo dada angu,bt co ishu kama anakupiga mti fresh mbona haina tatizo hyo

Yawezekana ana KIPAJI ambacho mwenzake (thread initiator) hajui.......MAMBO YA MOMBASA HULETA HALI HIYO YA MISHUZI BILA SPEED AND/OR LOCATION MONITOR......
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Alaa kumbe ni weye sheikh? Eid Mubarak!
<br />
<br />
Minalfaidhina sheigh!unaona jinsi nilivyoanikwa? Kisa kujamba?? Kwani kuna asiye jamba jamani?? Kama system ya digestion ni nzuri kwanini usijambe? Dah?
 
Yawezekana ana KIPAJI ambacho mwenzake (thread initiator) hajui.......MAMBO YA MOMBASA HULETA HALI HIYO YA MISHUZI BILA SPEED AND/OR LOCATION MONITOR......
<br />
<br />
Yah nikawaida ya HAO watu kujambajamba ovyo sometime kujinyea bila idhini yake, KAMA ANAJAMBA MARA NYINGI KWA SIKU,ampeleke kwenye viwanda vinavyotengeneza dawa za kuua wadudu watatajirika sana.
 
Yawezekana ana KIPAJI ambacho mwenzake (thread initiator) hajui.......MAMBO YA MOMBASA HULETA HALI HIYO YA MISHUZI BILA SPEED AND/OR LOCATION MONITOR......
<br />
<br />
nipo Tandale kwa nasikia harufu kali sana, sijui bwana wa Nazjaz yuko anga hizi?
 
mwulize kama rababend yakuwapa wenzie wazikate, manake kama bado ziko fresh angejizuia....huyo mjinga kujamba mbele za watu hana akili....jambajamba huyo..
 

Masaki
ni kitu gani kinasababisha watu kukoroma? Nadhani kujua hilo kutasaidia na sisi wengine tusije wasumbua akina Nazjaz!!
Du, lakini Nazjaz nae ana mambo, yaani kila siku ana issue ya ajabu.... sasa anajambiwa... na kukoromewa na shemeji mpya!
 
<br />
<br />
vunja jungu huwa mnafanya kingunguo?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…