Huyu mwanaume mbona hanidhuru

Huyu mwanaume mbona hanidhuru

nendiwekilasa

Member
Joined
Nov 14, 2012
Posts
10
Reaction score
19
Yani hapa ninahasira kibao, mwanaume wiki nzima ndani anakuangalia tuu hata kunidhuru hanidhuru, lipo tuu linajitia eti lipo busy na kazi, yani kama vile hanioni, kitanda nakiona kikubwa, nikimgusa anajidai kama vile kalala unono kumbe lipo macho, yani deadline nimemwekea ni leo, asiponigusa tuu, naenda kudhurika nje, mwanaume gani hana madhara?mbona zamani hakua hivyo, ananikera basi tuu, yani kantia hasira, kila mtu anayekatiza mbele yangu natamani nimtukane.
 
Shoga tabu yote ya nini?
Kula vichwa kama huna akili nzuri.
Ukiona hvo,ujue kuna mtu anammwagia wazungu wake.
Ukishindwa nitakusaidia.
Wanaume wanakera kwa kweli.
 
Hahahahahah lol! Unataka kudhuriwa eeh! hahahahah :majani7:




Yani hapa ninahasira kibao, mwanaume wiki nzima ndani anakuangalia tuu hata kunidhuru hanidhuru, lipo tuu linajitia eti lipo busy na kazi, yani kama vile hanioni, kitanda nakiona kikubwa, nikimgusa anajidai kama vile kalala unono kumbe lipo macho, yani deadline nimemwekea ni leo, asiponigusa tuu, naenda kudhurika nje, mwanaume gani hana madhara?mbona zamani hakua hivyo, ananikera basi tuu, yani kantia hasira, kila mtu anayekatiza mbele yangu natamani nimtukane.
 
Last edited by a moderator:
Mwenzio anamaliza mambo yake saa6-9mchana, anarudi ofisini anafungasha na kurudi kwako akiwa kajichokea...
Akicheza na wanae nusu saa basi ni usingizi wa hatari na kumuwaza yule anayempa mibinuko ya sarakasi!
Chukua hatua!..Tafakari!
Source: lara 1
 
Last edited by a moderator:
mkalie zile style ambazo unajua zinamtoa nyoka wake
 
Afu mtu analalamika mkewe anatoka nje ya ndoa,na wakati anashindwa kumkuna
Mi wangu huwa anapumzika in danger days tu,siku zilizobaki ni mzk kwenda mbele
ana experience Orgy daily.
 
Typography-Project-Music-Loud-580x409.jpg
 
Yani hapa ninahasira kibao, mwanaume wiki nzima ndani anakuangalia tuu hata kunidhuru hanidhuru, lipo tuu linajitia eti lipo busy na kazi, yani kama vile hanioni, kitanda nakiona kikubwa, nikimgusa anajidai kama vile kalala unono kumbe lipo macho, yani deadline nimemwekea ni leo, asiponigusa tuu, naenda kudhurika nje, mwanaume gani hana madhara?mbona zamani hakua hivyo, ananikera basi tuu, yani kantia hasira, kila mtu anayekatiza mbele yangu natamani nimtukane.

Mara nyingi huwa tunakimbilia kutupa lawama kwa wapenzi wetu kupoteza hamu ya kuwa na sisi bila kujichunguza na sisi kwa upande wetu tumefanya nini mpaka hali imefikia huko.

Kutoka nje ya ndoa na kutembea na watu hovyo si suluhu ya kusolve tatizo lako la ndoa, badala yake utaishia kupata magonjwa, kufumaniwa na pengine hata kunasa na hatma yake kuja kufia mbali! Jambo la kujiuliza ni Una ushahidi gani kuwa mwenzio hupata tiba nje ya ndoa? Kwa nini usitafute sababu halisi ya tatizo na kutatua ili mrudi kama zamani kuliko kukimbilia kugawa? Ukiendelea kugawa utagawa mpaka lini? Unajisikiaje kuwa msaliti ndani ya ndoa yako mwenyewe?

Sikia, kaa chini, angalia mwenendo wako na mapungufu yako. Kisha mwite mumeo mkae myasuluhishe. Unaweza kutafuta wamama watu wazima wenye akili zao wakakufundisha namna ya kumrudisha mwanaume aliyefikia hatua hiyo. Unaweza kuwapm na akina Kaunga, nyumba kubwa, Kongosho, nivea, FP , snowhite, gfsonwin, [MENTION]FP[/MENTION] na wengineo mpeane kitchen party ya ukubwani! Si jambo jema kuchukua hatua unazozifikiria.

Kila la kheri,
HorziPawa.
 
Mkuu nendiwekilasa,

Pole..lakini usitumie lugha kali na mbaya sana kwa mmeo(presumably) mf. ("Lipo" tuu, "lipo" busy, "lipo" macho)..nadhani ungejiuliza ni wapi kuna shida...yaani kwako binafsi, kwa mwanaume au kati yenu wote.

Kwa kuanza(Kwako binafsi), hakuna jambo ulilomkwaza na hivyo akaamua "kukuadhibu" kwa njia hiyo?kama hakuna jaribu kuongea naye/kudadisi pengine kuna jambo linalomsumbua hata huko kazini(work under pressure) linalomfanya awe jinsi alivyo sasa.
-Kama hakuna kati ya hayo then labda kuna shida kati yenu wote.

Personally, nadhani unamwamini maana kipindi hicho chote kama usinge mwamini "usingempa hiyo nafasi ya kusema leo basi" hivyo Kumbuka yale mazuri mliyokuwa mnafanyiana mwanzoni mwa uhusiano, unaweza kujaribu pia..
Waweza muandaa toka akiwa kazini(kumfanya atake kuwahi nyumbani..kwa mambo mazuri ofcourse)...kwa namna yeyote ile, pili mapokezi na jinsi atakavyojaliwa atapofika nyumbani, mazingira(kumbuka ndiyo weekend hii)..vinaweza kumfanya kubadilisha mawazo hata kama alikuwa hataki hapo mwanzo.

Tafadhali usitoke nje, wiki moja ni ndogo sana(sina kipimo cha kusema muda flani unafaa) lakini jiulize kama ulishawahi kuwa mjamzito, au pata uzoefu wa marafiki waliokuwa wajawazito tayari..waume wao hawakutoka nje, waliendelea kuvumilia hivyo hivyo! Na je, ukitoka nje ukagundua kuwa alikuwa anatatizo kweli utafanya nini? Na yeye akifanya kulipiza kisasi, au wakati wa ujauzito when you need most(mfano tu)!?

Punguza hasira, dadisi shida iko wapi, muandae(atamani kurudi kukuona), mtegemed Mungu yatakwisha.
Goodluck.
 
Last edited by a moderator:
Mulika Mwiziiii!!!!!!!!!!!!!!! (Ndio ya sio inaweza kuwa sio ila ndio kiundani!)
 
pole honey! Sikujua km unahamu na mimi kiasi hicho, jitayarishe basi leo ntaanzia unyayoni ntamalizia utosini. Kesho uje utoe testimony hapa
 
Lara1 mwenzio anasema anamgusa mumewe mume harespond, wanawake hawagusi bwana wanachokodha (Sio kuchokoza)
 
Back
Top Bottom