Uko wapi wewe!yaani hata mie wife kafunga vioo wiki sasa!hebu tutafutane basi! Lakini cheki kwanza kama hajaweka kinasio
Yani hapa ninahasira kibao, mwanaume wiki nzima ndani anakuangalia tuu hata kunidhuru hanidhuru, lipo tuu linajitia eti lipo busy na kazi, yani kama vile hanioni, kitanda nakiona kikubwa, nikimgusa anajidai kama vile kalala unono kumbe lipo macho, yani deadline nimemwekea ni leo, asiponigusa tuu, naenda kudhurika nje, mwanaume gani hana madhara?mbona zamani hakua hivyo, ananikera basi tuu, yani kantia hasira, kila mtu anayekatiza mbele yangu natamani nimtukane.
We Da Kongosho huyo mtu anakuwa buzy anajibuzisha na kitu gani? Hiyo laptop itazimwa kwa makalio nakwambia na kama ni TV basi channel itarekebishwa kwa vituko vya kila aina ikishindikana basi aendelee na ubuzy wake na weye endelea na 'ubusy wako kwake' tuone kama atavumilia!Mie kuna siku nilisema hapa
Watu wakabiiiiisha
Mwanamme akiwa busy tu, anakata service
Huna zombie bibie?
Huyu member ana lake jambo post zake ni mbili tuu, hebu chunguza Mkuu !!!!!Mwenzio anamaliza mambo yake saa6-9mchana, anarudi ofisini anafungasha na kurudi kwako akiwa kajichokea...
Akicheza na wanae nusu saa basi ni usingizi wa hatari na kumuwaza yule anayempa mibinuko ya sarakasi!
Chukua hatua!..Tafakari!
Source: lara 1
We Da Kongosho huyo mtu anakuwa buzy anajibuzisha na kitu gani? Hiyo laptop itazimwa kwa makalio nakwambia na kama ni TV basi channel itarekebishwa kwa vituko vya kila aina ikishindikana basi aendelee na ubuzy wake na weye endelea na 'ubusy wako kwake' tuone kama atavumilia!
Yaani kwamba wewe umeshindwa kumtega? Eh we bi dada hebu uwage unakuja PM kwanza kabla hujarusha hadharani. Kwa mwanamke mbona ni rahisi tu kugeuza hali ya hewa best? Mashamushamu, ucheshi, upendo khanga za India, maji n.k umevimaliza?
Shoga tabu yote ya nini?
Kula vichwa kama huna akili nzuri.
Ukiona hvo,ujue kuna mtu anammwagia wazungu wake.
Ukishindwa nitakusaidia.
Wanaume wanakera kwa kweli.
Ujue kila mwanamke ana ujasiri wa aina yake
Mie mtu akijifanya busy, awe busy kweli, awe kajibizesha
Huwa sijali sababu sheria inanilinda mwanamme habakwi
Huwa nahakikisha, nimembaka na nikimaliza nasinzia kwa raha zangu
Lakini kile kitendo cha kujidai mtu hajui wajibu wake ndio kinakera
Sasa huyu mleta mada bado anaonekana anaishina wanamme kwa hisia zaidi
Wakati mwingine ishi na mwanamme kwa mahitaji zaidi, DAI unachohitaji kutokwa kwake kama kipo ndani ya uwezo wake
Akikataa kusimama wakati wa ubakaji, ita hata Majembe Action Mart kwa msaada zaidi
Rukiko basi taratibu hahaha maana utamfanya akimbie kabla somo halijapanda. Pengine ni wale wasomi wenye kazi zao ambao hata kumdekea mumewe anaona kama anajishusha hadhi mwe!! Wenzake wanatambaa kama watoto wadogo wakiwa utupu ilmradi tu vituko kiasi kwamba mumewew akiwa kazini akikumbuka tu anaishia kutabasamu kwa vituko vya mkewe.ni bora ange pm kwanza;unajua, hawa ndio wale wanawake wasiotaka kujishugulisha kwa waume zao, eti mwanamume ananiona. huko anakotaka kwenda ataendaje, ataanzaje kwa huyo mume wake wa nje, mpaka amuelewe kuwa anataka? kama nje anaweza(amesema amempa deadline leo)., kwa nini hasitumie maujanja hayo hayo ndani?
je anafikiri kweli anampenda mumewe?,au amechoka nae na anatamani vya nje-ushetani mkubwa huu.... au alilazimishwa kuolewa naye.
na pia anaonekana kuwa ana majibu ya kunya kwa mumewe, au anaposhikwa hivi hataki au mpaka atakapojisikia yeye.abadili mtazamo
Yani hapa ninahasira kibao, mwanaume wiki nzima ndani anakuangalia tuu hata kunidhuru hanidhuru, lipo tuu linajitia eti lipo busy na kazi, yani kama vile hanioni, kitanda nakiona kikubwa, nikimgusa anajidai kama vile kalala unono kumbe lipo macho, yani deadline nimemwekea ni leo, asiponigusa tuu, naenda kudhurika nje, mwanaume gani hana madhara?mbona zamani hakua hivyo, ananikera basi tuu, yani kantia hasira, kila mtu anayekatiza mbele yangu natamani nimtukane.