Huyu mwanamke simuelewi, naomba ushauri

Huyu mwanamke simuelewi, naomba ushauri

Ushauri wangu ni uwe na maamuzi ya kiume

Mwambie unataka uwende kwao ukajuane na wazazi wake akikataa tu kwa kigezo cha muda bado mkuu usirudi nyuma piga chini haraka sana songa mbele
Nawaza kwa mbali...hata huyo dada akikubali mshkaji aende kwa wazazi wake ( by forcing) hawataishi maisha mazuri!

Ujue ukishaona mahali hupendwi jitoe tu, utaumia kwa mda but ukirecover utajiona ulifanya jambo la mbolea mnoo
 
Nashukuru sana. Biblia ishasema mtoto boya ni hasara kwa mama yake na mtoto mwerevu ni faida kwa dingi yake. Ni mama tu ndio hutupa moyo na kututetea yanapotokea majanga. Sitaki mabaya yanikute
Cha kufanya ni kufight kwa nguvu zote ule mzigo kwanza usije toka kapa yaani ukakosa vyote mzee baba.
 
hakunaga mawazo ninayoyaheshimu kama mtoto wa kike akichambua mambo ya mtoto wa kike mwenzake
Huo ndo ukweli mkuu...ukiona mwanamke hataki ujuane tu ndugu zake/ marafiki ( maana sisi huwa wa kwanza viherehere wa kutambulisha wabebez kwa rafiki, ndugu)....hiyo ni dalili primary kabisa kuwa hupendwi!

Nilishafanyaga hiki kitu ndo maana nakijua mkuu
 
Mkuu nina uhakika wew ni mtu mzima na timamu. Ushauri wangu tumia akili au ubongo kufanya maamuzi sahihi huwezi kuja kujutia,,acha kuamua kwa kutumia moyo ambao umewaangusha watu wengi waliojaribu kama wew. Huyo binti tupa kule wapo mabinti wengi watakaokupenda na kukuheshim muda bado unao
 
Huo ndo ukweli mkuu...ukiona mwanamke hataki ujuane tu ndugu zake/ marafiki ( maana sisi huwa wa kwanza viherehere wa kutambulisha wabebez kwa rafiki, ndugu)....hiyo ni dalili primary kabisa kuwa hupendwi!

Nilishafanyaga hichi kitu ndo maana nakijua mkuu

kweli kabisa hii kitu hata kwetu (ME) ipo yule ambaye huna plan naye huwa hatutaki kabisa afahamike katika ile inner circle yetu
 
Nawaza kwa mbali...hata huyo dada akikubali mshkaji aende kwa wazazi wake ( by forcing) hawataishi maisha mazuri!

Ujue ukishaona mahali hupendwi jitoe tu, utaumia kwa mda but ukirecover utajiona ulifanya jambo la mbolea mnoo

Mkuu naomba usikilize ushauri wa witnessj maana yuko so deep

Kama vipi mzukie pm kabisaaa mkayajenge vizuri
 
Wee utakuwa na akili ya ziada...kumbe kuna kitu umeona eeh?

Hajakaa kifala fala huyo bidada!
Nimeona mwana wane
Nampa tano!
Hatokaa aumie...anajiwahi kabla hajawahiwa.
Anatumia akili sana.Anajiwekea options
 
Nimeona mwana wane
Nampa tano!
Hatokaa aumie...anajiwahi kabla hajawahiwa.
Anatumia akili sana.Anajiwekea options
Haaahaa....nimempenda bure

Wadada wengi akili kubwa hizi huwa hatuna!
 
Pole sana mkuu, next time kwenye maamuzi yako use unamshirikisha Mungu, hawa wanawake wa siku hizi hawaeleweki, usije ukanuona mwanamke kwa sura na umbo anavutia ukaona anakufaa uwe unawachunguza na kichwani wapo smart kiasi gani, mzuri kwa nje lakini kichwani amna kitu, wapo wengi hata mavyuoni anajiita msomi lakini anavaa nisu utupu anaingia darasani,
Mkuu sina mashaka na tabia zake wala kichwa chake. Yuko smart sana. Shida yake ni hiyo amenifanya mimi plan B
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom