Huyu mwanamke simuelewi, naomba ushauri

Huyu mwanamke simuelewi, naomba ushauri

Kuna red flags nyingi tu huyo msichana anakuonyesha ila kutokana na kumpenda umejitia upofu.

Honestly I think amekuweka wewe ni wa by the way/reserve tu. She doesn't want to commit ila at the same time anakukeep close kwaajili ya just incase huko mbeleni. Ndo maana akuchezea hiyo michezo ya sitaki nataka.

Next time mtu akikukatalia, usiforce kingi. Madhara yake ndo haya.

My advice, find someone who is as committed in this, just as you are.
Ila dada ana akili sana.
Anatumia akili badala ya hisia.
Of which wanawake wengi hatuna na tunalia lia.
Dada ana akili ya kiume ambayo ni nzuri sana.Nimempenda.
 
inshort ni kwamba yupo kwenye mahusiano na ww ili tu na yy ajione yupo kwenye uhusiano

(sometimes kukaa single kunaboa)

ila hana future na ww hajawahi waza future na ww na bado yupo anatafuta mtu atakayempenda na kuwa na future naye trust me siku akimpata ndio mwisho wa ww na yy

yupo kwako kama part timr job huku akitafuta /akisubiria permanent imployment
 
Kuna red flags nyingi tu huyo msichana anakuonyesha ila kutokana na kumpenda umejitia upofu.

Honestly I think amekuweka wewe ni wa by the way/reserve tu. She doesn't want to commit ila at the same time anakukeep close kwaajili ya just incase huko mbeleni. Ndo maana akuchezea hiyo michezo ya sitaki nataka.

Next time mtu akikukatalia, usiforce kingi. Madhara yake ndo haya.

My advice, find someone who is as committed in this, just as you are.

Ndio ushauri mzuri

Big up boss

Truth ni kuwa watoto wengi wa chuo ni hawajielewi naweza sema ivyo na drama ni nyingi, kwa mtu ambae uko serious katika mapenzi ni maumivu kwako kudate na watoto wa chuo
 
Kuna red flags nyingi tu huyo msichana anakuonyesha ila kutokana na kumpenda umejitia upofu.

Honestly I think amekuweka wewe ni wa by the way/reserve tu. She doesn't want to commit ila at the same time anakukeep close kwaajili ya just incase huko mbeleni. Ndo maana akuchezea hiyo michezo ya sitaki nataka.

Next time mtu akikukatalia, usiforce kingi. Madhara yake ndo haya.

My advice, find someone who is as committed in this, just as you are.
Poa mkuu. Shukrani sana.
 
Kila jambo litakalotokea huwa na dalili zake na huwa tunazijua ila ni dharau na kiburi chetu binaadam ndicho kinachotufanya tuwe pabaya
Ushaona dalili za wazi kwa uyo mwanamke za kutokukuhitaji. Unasubir nini kubadiri uelekeo
Nashukuru sana. Biblia ishasema mtoto boya ni hasara kwa mama yake na mtoto mwerevu ni faida kwa dingi yake. Ni mama tu ndio hutupa moyo na kututetea yanapotokea majanga. Sitaki mabaya yanikute
 
Kuna red flags nyingi tu huyo msichana anakuonyesha ila kutokana na kumpenda umejitia upofu.

Honestly I think amekuweka wewe ni wa by the way/reserve tu. She doesn't want to commit ila at the same time anakukeep close kwaajili ya just incase huko mbeleni. Ndo maana akuchezea hiyo michezo ya sitaki nataka.

Next time mtu akikukatalia, usiforce kingi. Madhara yake ndo haya.

My advice, find someone who is as committed in this, just as you are.
Uko sawa kabisa mkuu
 
Ushauri wangu ni uwe na maamuzi ya kiume

Mwambie unataka uwende kwao ukajuane na wazazi wake akikataa tu kwa kigezo cha muda bado mkuu usirudi nyuma piga chini haraka sana songa mbele
This is good.
 
Nimesoma juu juu tu naona nimeona we jamaa unapenda sana yan kwa alam hzo bdo huelew nn la kufanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom