Huyu mwanamke sijui anafikiria nini!

sir kiduku

Senior Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
101
Reaction score
262
Habar wanaJF bila kupoteza muda ngoja niende moja kwa moja kwenye mada.

Kuna mwanamke nilimpenda sana in short wote tulipendana sana lakini tulikuwa mbali mbali miezi mitatu(tulikuwa kwenye mapenzi ya mbali kwa miezi 3) tangia niwe nae na kuja kukutana naye.

Lakini mambo yakaanza kubadilika tu pindi tulipokuwa karibu akawa hapendi kuongea sana na mimi mambo yalizidi kuwa mabaya had I ikafka hatua ananikaushia tu nikimuuliza sababu anajitetea ana kazi nyingi

Sasa imefika hatua hanitafuti hadi nimtafute mimi na muda mwingine nikimtafuta hanijibu hata siku 4 hadi nafikiria sijui nimuache au vipi

Sema sitaki kumuacha mapema hii wakati bado sijapata papuchi.

Ushauri wenu wadau
 
Hutaki kumuacha , wakati yeye amesha kuacha!!
Au had akuambie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…