Huyu mwanamke kanitapeli

hahahaha

Kuna vitu vya kushauri ila kwa hili acha tu atapeliwe[/QUOTE]
 
Haisaidii sasa anakuwa ameshashindwa kujiongeza tangu mwanzo hivyo ni vyema maumivu angebaki nayo tu kwani hapa naona anajitonesha vidonda vyake.
 
Endelea kumtumia atakuja tu mana hela kazi ndio hiyo
 
Ungemwambia akope,japo huwa hawakubali hilo,ila pole.umetapeliwa kiasi gani mkuu? Sio umetuma kielfu 20 ndio unakianzishia uzi hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…