kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,976
- 7,299
Acha kujifariji kwa ujinga wewe, tuko sawa na wazungu kwenye mambo ya kimwili tu kama kula, kukojoa,kutembea n.k ila akili hatuko sawa kabisa tusijidanganye, akili zetu zina matatizo makubwa sana. Huwezi kusema uko sawa na mtu anayegundua na kutengeneza kila kitu unachokitumia,Binadamu wote tuko sawa, haijalishi ni Mzungu, Mchina, Mhindi au Mfilipino kwenye maswala ya mapenzi na uaminifu hakunaga 'GARANTII' acha kujishusha na kuwashusha waafrika wenzako.
Mwenyezi Mungu pekee ndiyo mwenye uwezo wa kubadilisha watu kinamna apendavyo na sio kwa juhudi zetu wenyewe.
Sisi sote ni binadamu-hakuna tofauti.

