CHE Raptino
JF-Expert Member
- Mar 11, 2017
- 1,027
- 1,068
Penzi halilazimishwi
Samahani mkuuKama hamtaki basi atakua anamtu mwenye malengo nae ila mimi sina hivyo Namuomba huyo mzungu tafadhali![]()
huo mguu ni wakoo
na hivyo vidole vya mguuni ni vyako? 

Ndio au hapana yote yanaweza kuwa majibu sahihiSamahani mkuuhuo mguu ni wakoo
na hivyo vidole vya mguuni ni vyako?
![]()
Nakutakia asubuhi njema mkuu Mungu awe pamoja naweNdio au hapana yote yanaweza kuwa majibu sahihi
Amen!Nakutakia asubuhi njema mkuu Mungu awe pamoja nawe
Binadamu wote tuko sawa, haijalishi ni Mzungu, Mchina, Mhindi au Mfilipino kwenye maswala ya mapenzi na uaminifu hakunaga 'GARANTII' acha kujishusha na kuwashusha waafrika wenzako.Mwambie aache ubaguzi wa rangi, kila siku ubaguzi unapingwa yeye asikii?? Huyo anataka maumivu ya milele, kuna wazungu waaminifu sana ila hakuna mwafrica mwaminifu, atajutia when it's too late. Kuna watu wamebadilika maisha yao kuanzia amani ya nafsi hadi kiuchumi ktokana na kuwa na mahusiano na wazungu,
Kuna rafiki angu wa kike alikuwaa hapendii wakaka weusiiu...yaniii hata huyo mkaka ampee nini hana hata ilee kumfikiriaa so ni kipendacho rohoo... mzungu huyo anataka kumuoa sasa hapo dada hampendi na hana furaha naee boraa ingekuwa kiselaa... dada asimamiee msimamo wakee kwa ajili ya furaha yake maana Furaha na Amani ya moyoo ni boraa zaidi kuliko fedhaa
Kwa hiyo unajuaje mimi sina sifa hizoSidhani kama anaweza kuchukua MTU yeyote,nahisi type zake ni Black beauty,mrefu,mwembamba wastani..
Nimekuuliza umejuaje sina?Kumbe unazo...? Sikujua hilo...
Asee we jamaa unajua kujiongezaMkuu kama hataki basi. Mapenzi hayalazimishwi. Inaelekea anakuelewa huyo manzi tatizo haujiongezi