Huyu mwanajeshi ananichanganya

fuata moyo wako...

kama hujui mbinu za wanaume utakuja shuhudia mwenyewe tena kama ulimwambia unaye atafanya kila awezalo mpaka akupate...shaurilo
 
Mchumba wako alie kupa zawadi ya Ipad yene thamani ya 900 dollar,leo hakujali !?
 
atakubali kuwa mtanganyika? au anataka tu ardhi ya bara? na je, ukienda kule zenji utakubaliwa kama mzenji?
 

Alaaa kuuumbeee
 

 
Last edited by a moderator:
Wilikuwepo kina Jane_ooo,DaJane,Grace wa Tegeta et al wamepotea na wewe utapotea tu na hekaya zako za abunuasi.
 

Anakujali sababu hajaonja mbunye.
Ngoja akute panya afu utakuja kutuambia.
 
Anaonesha anajali kwa kufa hajafunua sketi hiyo. Ngoja akupitie uone kama ataendelea na huko unakoita kujali. Ng'ang'ana n mpenzi wako dada.
 
Wazenji wengi wao wabaguzi sasa mkubalie akupeleke kwao ndo utakapomkumbuka wazamani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…