donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,139
Wamkamate kwa kosa gani? Kwani huyo Mke wa Boss si alihiari mwenyewe?Polisi wa Zambia wazembe....!!!!!
Yaani mtu hadi anaweka status WhatsApp bado hawajamkamata huko alipo....!!
Au wanasubiri atoe connection ndo wamkamate...???!
Ugwadu mbaya sana..😁.
Wamkamate kwa kosa gani? Kwani huyo Mke wa Boss si alihiari mwenyewe?
Wanatakiwa wamkamate Mchina kwa kutolipa mshahara.
kasieee.wwwPolisi wa Zambia wazembe....!!!!!
Yaani mtu hadi anaweka status WhatsApp bado hawajamkamata huko alipo....!!
Au wanasubiri atoe connection ndo wamkamate...???!
Ugwadu mbaya sana..😁.
Mimi sijui kizungu ama?, ku "sneaked away" ndio kidnap?Kidnap...
Ila wacha waendelee kukomoana
kasieee.www
Mimi sijui kizungu ama?, ku "sneaked away" ndio kidnap?
Sawa Kasie, yetu macho.Ndo maana nikasema acha waendelee kukomoana...
Miziziology from Kongo hiyo no one can run trap,hiyo Miziziology kitaalam wanaiita gusa anase!au katumia mizizi