Huyu mtu ni nani?

Mkuu sijui ni macho yangu lakini utanisamehe mi naona unafanana nae sura kwenye avatar yako hapo
Wasichana wanaotafuta wachumba humu JF, siku mkikutana na Mshana jr. mtawaacha wachumba wenu wote. Mdogo wangu ni Handsome boy tena mpole sana kuliko anayoandika ya ulozi. Ila huyo mi nadhani ni aina ya kina Lizabon na Motochin vile.
 
Wasichana wanaotafuta wachumba humu JF, siku mkikutana na Mshana jr. mtawaacha wachumba wenu wote. Mdogo wangu ni Handsome boy tena mpole sana kuliko anayoandika ya ulozi. Ila huyo mi nadhani ni aina ya kina Lizabon na Motochin vile.
asante dada loh asavali umemaliza utata wote
 
Wasichana wanaotafuta wachumba humu JF, siku mkikutana na Mshana jr. mtawaacha wachumba wenu wote. Mdogo wangu ni Handsome boy tena mpole sana kuliko anayoandika ya ulozi. Ila huyo mi nadhani ni aina ya kina Lizabon na Motochin vile.
kumfananisha mtu hakuna uhusiano wowote na suala la wachumba, kabla ya kuandika maneno yako ungetumia muda kidogo kuangalia My Profile Page badala ya kukimbilia kujibu hivyo huku ukiwa umeninukuu.
 
kumfananisha mtu hakuna uhusiano wowote na suala la wachumba, kabla ya kuandika maneno yako ungetumia muda kidogo kuangalia My Profile Page badala ya kukimbilia kujibu hivyo huku ukiwa umeninukuu.
Umeona ID yako hapo au una ID zaidi ya kumi?
 
Hatakama kupanga ni kuchagua lakini hii three much kwakwel.
 
Kamsaidia mkewe kupunguza nguo kabatini nadhani.
 
Sio mara ya kwanza kumwona ktk vazi la blouse ya kitenge.... Sio ana maanisha nin?
 
Mshana umefanana sana na uyo jamaa ,, kuna kitu unakijua nyuma ya pazia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…