Huyu mtoto noma.

Huyu mtoto noma.

Charles Gerald

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
1,405
Reaction score
1,845
4fc4b4dab7e21094478103c20a80a6b6.jpg
 
njema san,Mungu amjaalie aje kumiliki gari au kuunda.
[HASHTAG]#wanandoto[/HASHTAG]
 
Ile helicopter imepotelea wapi nayo??
Au ilikuwa kiki ya uchaguzi wa October kwa chama cha viwanda??
 
Ingekuwa nchi za wenzetu angeshapewa tour kwenye major car manufacture industries kuona magari yanavyotengenezwa na kuuliza maengineer na technicians maswali.
 
Ingekuwa nchi za wenzetu angeshapewa tour kwenye major car manufacture industries kuona magari yanavyotengenezwa na kuuliza maengineer na technicians maswali.
Huku kwetu anatakiwa apewe onyo maana kuna siku atatengeneza bomu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom