RUKUKU BOY
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,588
- 1,858
Muache dogo alie me mzungu alinitoa nishai nkachanganyikiwa husicheze na mapenzi, nkikumbuka ulivyokua unaumia kwenye uzi wako waga nacheka tuuMiaka 21 unalia na mapenzi.
Muache dogo alie me mzungu alinitoa nishai nkachanganyikiwa husicheze na mapenzi, nkikumbuka ulivyokua unaumia kwenye uzi wako waga nacheka tuuMiaka 21 unalia na mapenzi.
😃😃😃 umetumbuliwaje wakati elimu yako hata mim nikirudia leo shule siwezi fika huo ufaulu wako wa kila stage😀😀😀😀😀
Mkuu naona umeamua kunitukana kabisa. Mimi nimeshatumbuliwa na nimeambiwa hakuna nitakachopata
Wacheka nini sasa? Kuumizwa na mapenzi kawaida tu. Kunakufanya uwe makini ukikutana na mwingine.Muache dogo alie me mzungu alinitoa nishai nkachanganyikiwa husicheze na mapenzi, nkikumbuka ulivyokua unaumia kwenye uzi wako waga nacheka tuu
Huyu lazima yupo Yudizm!🤣🤣daaah upo chuo gani aiseee
🏾♂️
🏾♂️ unatia huruma
Sio kawaida kwa nyinyi wasichana kuja kumpata mwingine mpaka kuoana sio rahisi, ila mungu akujalie nduguWacheka nini sasa? Kuumizwa na mapenzi kawaida tu. Kunakufanya uwe makini ukikutana na mwingine.
InshallahSio kawaida kwa nyinyi wasichana kuja kumpata mwingine mpaka kuoana sio rahisi, ila mungu akujalie ndugu
Naona unaelekea zimbabwe kama ID yako inavyosema!Wakuu habari yenu, mimi ni kijana wa miaka 21 kwa sasa na nipo chuo kikuu kimojawapo hapa nchini Tanzania.Toka nipo shuleni nimekuwa nikiweza kujiweka mbali na wanawake kwa ujumla kwani niliamini huwezi kuwa na mpenzi shuleni na ukafaulu kwa viwango vya juu kwa upande wangu lakini.Namshukuru Mungu kwa ujumla kwani nilifanikiwa kwa kiwango cha asilimia mia kutokua na uhusiano wowote kabisa.
Sasa tatizo linakuja muda huu nipo chuoni napata wakati mgumu sana hata kuongea na msichana tu,nimekuwa kama mgonjwa hivi nikiwakimbia sana hata group discussion zangu nimetafuta zisizo na mwanamke hata mmoja ndipo najihisi salama kabisa
Sasa kwa bahati mbaya kuna msichana mmoja nashindwa kumtoa akilini kabisa,nilivyomuona siku ya kwanza,mwili wangu ulitetemeka kwa sekunde chache na kama utani akaja kukaa siti ya mbele yangu,hakika nilipata shida sana kwenye kipindi kile kwani niliishia kumuangalia tu muda wote na huku nikijihisi naumwa tumbo na nilikuwa na hofu hivi na moyo ulikuwa ukienda mbio.
kipindi kilivyoisha alitoka njee,ndipo nilipoweza kujirudi katika hali ya kawaida.Sasa mpaka leo hii nakuwa nashindwa kuwa normal ninaopokuwa karibu naye,either nitaumwa tumbo au moyo kwa uwoga,na kitu cha ajabu naweza nikajipanga kumsalimia ila nikikutana nae nashindwa kumwambia hata mambo tu.
Mpaka muda huu tunafunga chuo kwa likizo fupi lakini bado sijawahi kumuongelesha,lakini nimetafuta jina lake kwa shida sana,nimekuja kulipata leo wakati wa mtihani chuoni. Hakika nashindwa kujizuia kutompenda huyu msichana lakini naanzeje wakuu? Maana hata jinsi tu ya kumsalimia naona shida kubwa na wakati ni mcheshi sana,na sio muongeaji sana.
Wakuu nipeni mbinu hata niweze kumsalimia tu au niunde urafiki naye tu,maana huwa nakumbuka anavyocheka,anavyotenbea na anavyoongea na huwa nikikumbuka hayo huwa najikuta naacheka peke yangu kama chizi vile,sikuwahi kufikiria kuwa kupenda kunakuwa hivi ila na ujanja wangu wote nimependa kwa mara ya kwanza ila nashindwa kufanya chochote!
MSAADA KWA WAZOEFU WA HAYA MAMBO WAKUBWA
😃😃😃 umetumbuliwaje wakati elimu yako hata mim nikirudia leo shule siwezi fika huo ufaulu wako wa kila stage
cha kufanya usiogope.,mfate mueleze hisia zako na najua atakukubali tu.,story yako ni kama yangu na nilifanikiwa mpaka leo niko nayeWakuu habari yenu, mimi ni kijana wa miaka 21 kwa sasa na nipo chuo kikuu kimojawapo hapa nchini Tanzania.Toka nipo shuleni nimekuwa nikiweza kujiweka mbali na wanawake kwa ujumla kwani niliamini huwezi kuwa na mpenzi shuleni na ukafaulu kwa viwango vya juu kwa upande wangu lakini.Namshukuru Mungu kwa ujumla kwani nilifanikiwa kwa kiwango cha asilimia mia kutokua na uhusiano wowote kabisa.
Sasa tatizo linakuja muda huu nipo chuoni napata wakati mgumu sana hata kuongea na msichana tu,nimekuwa kama mgonjwa hivi nikiwakimbia sana hata group discussion zangu nimetafuta zisizo na mwanamke hata mmoja ndipo najihisi salama kabisa
Sasa kwa bahati mbaya kuna msichana mmoja nashindwa kumtoa akilini kabisa,nilivyomuona siku ya kwanza,mwili wangu ulitetemeka kwa sekunde chache na kama utani akaja kukaa siti ya mbele yangu,hakika nilipata shida sana kwenye kipindi kile kwani niliishia kumuangalia tu muda wote na huku nikijihisi naumwa tumbo na nilikuwa na hofu hivi na moyo ulikuwa ukienda mbio.
kipindi kilivyoisha alitoka njee,ndipo nilipoweza kujirudi katika hali ya kawaida.Sasa mpaka leo hii nakuwa nashindwa kuwa normal ninaopokuwa karibu naye,either nitaumwa tumbo au moyo kwa uwoga,na kitu cha ajabu naweza nikajipanga kumsalimia ila nikikutana nae nashindwa kumwambia hata mambo tu.
Mpaka muda huu tunafunga chuo kwa likizo fupi lakini bado sijawahi kumuongelesha,lakini nimetafuta jina lake kwa shida sana,nimekuja kulipata leo wakati wa mtihani chuoni. Hakika nashindwa kujizuia kutompenda huyu msichana lakini naanzeje wakuu? Maana hata jinsi tu ya kumsalimia naona shida kubwa na wakati ni mcheshi sana,na sio muongeaji sana.
Wakuu nipeni mbinu hata niweze kumsalimia tu au niunde urafiki naye tu,maana huwa nakumbuka anavyocheka,anavyotenbea na anavyoongea na huwa nikikumbuka hayo huwa najikuta naacheka peke yangu kama chizi vile,sikuwahi kufikiria kuwa kupenda kunakuwa hivi ila na ujanja wangu wote nimependa kwa mara ya kwanza ila nashindwa kufanya chochote!
MSAADA KWA WAZOEFU WA HAYA MAMBO WAKUBWA
Hahahahahahahahahahahahahahahahaha.Peleka story yako kwenye magazeti ya udaku Anti Liz akusaidie kujibu
We lazima ulipita seminari, sio bure...Wakuu habari yenu, mimi ni kijana wa miaka 21 kwa sasa na nipo chuo kikuu kimojawapo hapa nchini Tanzania.Toka nipo shuleni nimekuwa nikiweza kujiweka mbali na wanawake kwa ujumla kwani niliamini huwezi kuwa na mpenzi shuleni na ukafaulu kwa viwango vya juu kwa upande wangu lakini namshukuru Mungu kwa ujumla kwani nilifanikiwa kwa kiwango cha asilimia mia kutokua na uhusiano wowote kabisa.
Sasa tatizo linakuja muda huu nipo chuoni napata wakati mgumu sana hata kuongea na msichana tu,nimekuwa kama mgonjwa hivi nikiwakimbia sana hata group discussion zangu nimetafuta zisizo na mwanamke hata mmoja ndipo najihisi salama kabisa.
Sasa kwa bahati mbaya kuna msichana mmoja nashindwa kumtoa akilini kabisa,nilivyomuona siku ya kwanza,mwili wangu ulitetemeka kwa sekunde chache na kama utani akaja kukaa siti ya mbele yangu,hakika nilipata shida sana kwenye kipindi kile kwani niliishia kumuangalia tu muda wote na huku nikijihisi naumwa tumbo na nilikuwa na hofu hivi na moyo ulikuwa ukienda mbiokipindi kilivyoisha alitoka njee,ndipo nilipoweza kujirudi katika hali ya kawaida.Sasa mpaka leo hii nakuwa nashindwa kuwa normal ninaopokuwa karibu naye,either nitaumwa tumbo au moyo kwa uwoga,na kitu cha ajabu naweza nikajipanga kumsalimia ila nikikutana nae nashindwa kumwambia hata mambo tu.
Mpaka muda huu tunafunga chuo kwa likizo fupi lakini bado sijawahi kumuongelesha,lakini nimetafuta jina lake kwa shida sana,nimekuja kulipata leo wakati wa mtihani chuoni. Hakika nashindwa kujizuia kutompenda huyu msichana lakini naanzeje wakuu? Maana hata jinsi tu ya kumsalimia naona shida kubwa na wakati ni mcheshi sana,na sio muongeaji sana.
Wakuu nipeni mbinu hata niweze kumsalimia tu au niunde urafiki naye tu,maana huwa nakumbuka navyocheka,anavyotembea na anavyoongea na huwa nikikumbuka hayo huwa najikuta naacheka peke yangu kama chizi vile,sikuwahi kufikiria kuwa kupenda kunakuwa hivi ila na ujanja wangu wote nimependa kwa mara ya kwanza ila nashindwa kufanya chochote!
Msaada kwa wazoefu wa haya mambo wakubwa
Kumbe na ww domo zege mwenzake stail gani hizi za kutongoza huo ni umamaa wanaume wa Dar bna agh!!Tatizo dogo hilo,kama una namba yake ya simu,jaribu kumtumia sms yoyote ukimaanisha umekosea namba,kwa mfano jina lake ni x,we tuma sms ya namna hii...'jamani Y nielewe basi,nateseka kwa ajili yako' akiipata hiyo sms atashindwa kuielewa anaweza kujibu au kutokujibu..lakini wewe kuwa king'ang'anizi kuwa hiyo namba ni ya Y.baada ya hapo ni wewe kumalizia tu....
haya mambo hayanaga utaalamu,unaweza kupewa jibu ukajuta kuzaliwa maishani halafu ukute umetoka familia choka mbaya na unamtongoza mtoto mwenye levo tofauti ya kiuchumi.Kumbe na ww domo zege mwenzake stail gani hizi za kutongoza huo ni umamaa wanaume wa Dar bna agh!!