Huyu msichana ataniua hakika

Huyu msichana ataniua hakika

Hapo kwa jinsi ulivyoelezea sioni kama kuna mbinu zozote za wewe kumpata huyo dada, hakuna mtu wa kukupa confidence isipokuwa wewe mwenyewe. Na unaonekana ushafeli tayari.
 
Wewe ndio umemganda yeye..

Ukilijua hilo utamuondoa akilini hata usiku huu huu.

PiGa shule, Muhimbili sio kanisani napafahamu vizuri hapo
ndicho nilichooomaanisha mkuu kwamba amenikaa akilini sana, na kuhusu shule napiga kwelikweli ila napitia katika kipindi hiki
 
nasoma muhimbili kaka
mdogo wangu *Testosterone* *hormones* zikianza kusambaa mwili mzima huyo girl unayempotezea utaamwona DHAHABU ....na pia SAFARI ZA KWENDA OPEC (ZANAKI GIRLS HIGH SCHOOL) utaziona za kawaidiaa sana mdogo wanguuuu



HINTS.
waulize walioko 3rd year na wengineo WATAKU TELL TUUU ASEEEE



HINTS 2
USIJE PIGA PUCHU. Coz ina haribu nerves systems za kubeba hayo madesa ,pia soma sana aseeeeee maana wanadisco sio chamtoto hapo
 
Duh! Pole sana. Ili kweli ni tatizo, tena leo kisaikolojia. Sasa basi kuwa Mwanaume na usiwe mtoto wa kiume.
 
Hiyo ni Saikolojia. Yaani akili yako umeifanya ifikilie jambo ama kitu fulani bila kuipa uhuru. Ipe akili yako uhuru basi ifanye maamuzi sahihi, jaribu kupata mda wa kutosha kupumzika. Ifanye akili yako iwe huru.
asante sana mkuu lakini sasa nawezaje kumuondoa akilini maana ameniganda sana
 
mdogo wangu *Testosterone* *hormones* zikianza kusambaa mwili mzima huyo girl unayempotezea utaamwona DHAHABU ....na pia SAFARI ZA KWENDA OPEC (ZANAKI GIRLS HIGH SCHOOL) utaziona za kawaidiaa sana mdogo wanguuuu



HINTS.
waulize walioko 3rd year na wengineo WATAKU TELL TUUU ASEEEE



HINTS 2
USIJE PIGA PUCHU. Coz ina haribu nerves systems za kubeba hayo madesa ,pia soma sana aseeeeee maana wanadisco sio chamtoto hapo
shukurani mkuu
 
Hiyo ni Saikolojia. Yaani akili yako umeifanya ifikilie jambo ama kitu fulani bila kuipa uhuru. Ipe akili yako uhuru basi ifanye maamuzi sahihi, jaribu kupata mda wa kutosha kupumzika. Ifanye akili yako iwe huru.
nashukuru sana mkuu
 
Wakuu habari yenu, mimi ni kijana wa miaka 21 kwa sasa na nipo chuo kikuu kimojawapo hapa nchini Tanzania.Toka nipo shuleni nimekuwa nikiweza kujiweka mbali na wanawake kwa ujumla kwani niliamini huwezi kuwa na mpenzi shuleni na ukafaulu kwa viwango vya juu kwa upande wangu lakini.Namshukuru Mungu kwa ujumla kwani nilifanikiwa kwa kiwango cha asilimia mia kutokua na uhusiano wowote kabisa.
Sasa tatizo linakuja muda huu nipo chuoni napata wakati mgumu sana hata kuongea na msichana tu,nimekuwa kama mgonjwa hivi nikiwakimbia sana hata group discussion zangu nimetafuta zisizo na mwanamke hata mmoja ndipo najihisi salama kabisa
Sasa kwa bahati mbaya kuna msichana mmoja nashindwa kumtoa akilini kabisa,nilivyomuona siku ya kwanza,mwili wangu ulitetemeka kwa sekunde chache na kama utani akaja kukaa siti ya mbele yangu,hakika nilipata shida sana kwenye kipindi kile kwani niliishia kumuangalia tu muda wote na huku nikijihisi naumwa tumbo na nilikuwa na hofu hivi na moyo ulikuwa ukienda mbio.
kipindi kilivyoisha alitoka njee,ndipo nilipoweza kujirudi katika hali ya kawaida.Sasa mpaka leo hii nakuwa nashindwa kuwa normal ninaopokuwa karibu naye,either nitaumwa tumbo au moyo kwa uwoga,na kitu cha ajabu naweza nikajipanga kumsalimia ila nikikutana nae nashindwa kumwambia hata mambo tu.
Mpaka muda huu tunafunga chuo kwa likizo fupi lakini bado sijawahi kumuongelesha,lakini nimetafuta jina lake kwa shida sana,nimekuja kulipata leo wakati wa mtihani chuoni. Hakika nashindwa kujizuia kutompenda huyu msichana lakini naanzeje wakuu? Maana hata jinsi tu ya kumsalimia naona shida kubwa na wakati ni mcheshi sana,na sio muongeaji sana.
Wakuu nipeni mbinu hata niweze kumsalimia tu au niunde urafiki naye tu,maana huwa nakumbuka anavyocheka,anavyotenbea na anavyoongea na huwa nikikumbuka hayo huwa najikuta naacheka peke yangu kama chizi vile,sikuwahi kufikiria kuwa kupenda kunakuwa hivi ila na ujanja wangu wote nimependa kwa mara ya kwanza ila nashindwa kufanya chochote!
MSAADA KWA WAZOEFU WA HAYA MAMBO WAKUBWA
Mwandikie barua,simple!!!
 
Basi mtoe akili mwako. Kama uliweza kumeweka akilini unashindwa nini kumtoa.!!!!
ndicho nilichooomaanisha mkuu kwamba amenikaa akilini sana, na kuhusu shule napiga kwelikweli ila napitia katika kipindi hiki
 
mdogo wangu *Testosterone* *hormones* zikianza kusambaa mwili mzima huyo girl unayempotezea utaamwona DHAHABU ....na pia SAFARI ZA KWENDA OPEC (ZANAKI GIRLS HIGH SCHOOL) utaziona za kawaidiaa sana mdogo wanguuuu



HINTS.
waulize walioko 3rd year na wengineo WATAKU TELL TUUU ASEEEE



HINTS 2
USIJE PIGA PUCHU. Coz ina haribu nerves systems za kubeba hayo madesa ,pia soma sana aseeeeee maana wanadisco sio chamtoto hapo
Wew jamaa nikiona avatar yako
Nacheka sana.
Coz namkumbuka LioRush wa wwe kama unakajua
 
Back
Top Bottom