Huyu Msichana ananisumbua akili yangu

Huyu Msichana ananisumbua akili yangu

hassan007

Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
14
Reaction score
1
Yani Message anazijibu kwa mariingo sometimes ana soma alafu ana kausha nampiga mistarii wiki ya pili hii.. alafu sasa ni mzuri kweli yani nimemuuliza kama ana boyfriend ataki kunipa jibu ...

Yan hata simuelewi...wakina dada hembu nisaidien kimawazo.
 
Kwa hiyo kina kaka haturuhusiwi
 
kasome kitabu Rich Dad ,Poor Dad utajijua unaanda mazingira ya wewe kuwa poor dady.
 
nYIE WATOTO BANA ! MAMBO YENU YA FACEBUKU WATU WAZIMA TUTAYAWEZEA WAPI ....RUDI HUKO MLIKOKUTANA WATAWASULUHISHI!
Yani msg Ana jibu kwaa mariingo sometimes Ana soma alafu Ana kausha nampiga mistali wiki ya pili hii.. Alafu sasa ni mzuri kweli yani nime muuliza Kama Ana boyfriend ataki kunipa jibu ... Yan ata simuelewi.. Wakina dada ebu nisaidien kimawazo
 
We dogo mambo ya Facebook unaleta huku peleka utumbo wako huko
 
Chagua ccm na magufuli,hilo tatizo litasolviwa haraka sana.
 
Dah,sasa ndo umeandika mazonge gani hapa we jamaa!by the way you sound like 18 virgin boy so bora tu tukuache maana bdo unapitia kweny kipindi kigumu sana cha Dangerous Age.
 
Huwa Sipendagi Kusumbuliwa na Kitu Ambacho Hakiniingizii Hata Senti.. Daima nikikupenda napenda kweli, Ukizingua nikinoki nanoki kweli... Pesa Inipe tabu na Mapenzi Nayo yanipe tabu!!!! Bora niwe mnunuzi wa Papuchi Kuliko kudeal na Mwanamke Asiyejitambua
 
kuna mmoja aliniletea hiyo habari nikamwambia iko cku. Nilikaa kimya miezi kadhaa bila hata kuwasiliana nae then kukakutana ikawa breakfast ,next ikawa lunch the last meeting was on Bed and breakfast
 
Xaxa kakaangu kama unaona anakusumbua kwann usitafte faraja yako huyo si wako angekuwa wako wala Asingekutesa kihivyo hata kama anatikisa kiberti ndo hivo mtu mwenye mapenz ya dhati huwa ni nilijali pole xana
 
Xaxa kakaangu kama unaona anakusumbua kwann usitafte faraja yako huyo si wako angekuwa wako wala Asingekutesa kihivyo hata kama anatikisa kiberti ndo hivo mtu mwenye mapenz ya dhati huwa ni nilijali pole xana

Xaxa, ndio nini? Huenda nami mgeni kwenye lugha, xana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom