huyu mrembo nikweli nitampata?

huyu mrembo nikweli nitampata?

gedo

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2012
Posts
314
Reaction score
53
kuna dada alinitext kwenye fb kua anaomba email yangu tuwasiliane anamatatizo,yeye ni mkimbizi toka sudan ila yupo kambi yawakimbizi senegal,anasema yeye alikua mtoto wa waziri sudan kabla baba yake hajauwawa,anahitaji msaada wangu.kanitumia picha zake kwenye email,nimzuri mbaya cheki picha zake hapa chini.anataka nimsaidie kupata hela zake £5.7ml na akizipata atakuja tz nakua mkewngu!msaada jamani nisije ingia chakike...
 
picha zake hapo chini ziko wapi?
 
kuna dada alinitext kwenye fb kua anaomba email yangu tuwasiliane anamatatizo,yeye ni mkimbizi toka sudan ila yupo kambi yawakimbizi senegal,anasema yeye alikua mtoto wa waziri sudan kabla baba yake hajauwawa,anahitaji msaada wangu.kanitumia picha zake kwenye email,nimzuri mbaya cheki picha zake hapa chini.anataka nimsaidie kupata hela zake £5.7ml na akizipata atakuja tz nakua mkewngu!msaada jamani nisije ingia chakike...
kimbia haraka muda sio mrefu unaibiwa achana nae ni wasanii hao.ni email zinatumwa kwa watu wengi sana,wizi mtupu
 
Hoax! Achana nayo! Wananjia mbili, kukuomba umsaidie ama kukupokonya email yako na kutuma email kwa addressee wako wote kuwa uko stranded na unataka msaada. Kwa maana nyingine, e mail yako nutakuwa huna mamlaka nayo tena
 
...hebu fanya anachotaka tupate pa kujifunzia utapeli huu mpya unavyofanyika,ukshaibiwa tuletee analysis yako ya zoezi zima...
 
Wezi hao wala usihangaike nao, mimi niliishakumbana na huo mkasa mwaka 2008 thruogh my email tuliwasiliana kwa muda na kuitana majina matamu matamu lakini nikaja kushindwa kwenye kumtumia hela huko senegal na ndipo nikagundua kua ni wezi na baada ya hapo napokea email na message nyingi sana ila sihangaiki nao. Achana nae.
 
Mmoja hivyo hivyo alijiita Favor Buba alijifanya msanii nikamtapeli yeye, Mjini hapa chizi tu huyo we jipange mtafune yeye mpaka asiisahau dar ngoja nitakuletea story hapa jf
 
kuna dada alinitext kwenye fb kua anaomba email yangu tuwasiliane anamatatizo,yeye ni mkimbizi toka sudan ila yupo kambi yawakimbizi senegal,anasema yeye alikua mtoto wa waziri sudan kabla baba yake hajauwawa,anahitaji msaada wangu.kanitumia picha zake kwenye email,nimzuri mbaya cheki picha zake hapa chini.anataka nimsaidie kupata hela zake £5.7ml na akizipata atakuja tz nakua mkewngu!msaada jamani nisije ingia chakike...

kwa kukusaidia hao wala sio wanawake kama unavyodhani, ni wanaume rijali kabisa.. i let you know!
 
Uza nyumba umtumie mtoto . Ha ha ha ha
 
Acha kukariri ww. Kwani Ukiingia cha kike huwezi kukojoa? wanawake ndo hawawezi kukojoa kwenye choo cha wanaume.

Mkuu siku hizi hata hao wanawake wanakojoa vizuri tu kwenye vyoo vya kiume..
 
kuna dada alinitext kwenye fb kua anaomba email yangu tuwasiliane anamatatizo,yeye ni mkimbizi toka sudan ila yupo kambi yawakimbizi senegal,anasema yeye alikua mtoto wa waziri sudan kabla baba yake hajauwawa,anahitaji msaada wangu.kanitumia picha zake kwenye email,nimzuri mbaya cheki picha zake hapa chini.anataka nimsaidie kupata hela zake £5.7ml na akizipata atakuja tz nakua mkewngu!msaada jamani nisije ingia chakike...

Kimbia haraka,mwizi huyo!Ukituma bank details zako umeumia!!Wako wengi sana hao,ni matapeli
 
[h=3]بسم الله الرحمن الرحيم Bismillahir Rahmanir Raheem "In the Name of God, the Compassionate, the Merciful"[/h]
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!
 
Kumbe hiii mambo bado ipogo?? Haya nenda kichwakichwa ukalipuliwe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom