Huyu mke wangu tatizo

Huyu mke wangu tatizo

ekomu1

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2018
Posts
295
Reaction score
330
Jamani nimeoa mwaka huu mwezi wa pili tunaishi vizuri na mke wangu bila shida yoyote.

Miezi mitatu baada ya ndoa mke wangu akaanza kuleta marafiki zake wa kike tuishi nao wakati anajua kabisa tumepanga chumba kimoja wakawa wanakuja baada ya wiki wanaondoka wanakuja wengine hivyo hivyo nikimuambia mbona unaleta marafiki zako na tupo na chumba tu anasema wao wanakuja na awezi kuwafukuza .

Sasa huyu rafiki yake wa sasa aliyekuja ndio shida kaja toka mwezi wa 9 na wala hana mpango wa kuondoka yupo tu na shida nyingine ni mvivu sana hapa nipo kwenye mawazo kwasababu mke wangu hata hajali kwasababu toka aje huyo rafiki yake sijawai kufanya tendo la ndoa na mke wangu kwasababu awezi kufanya na yeye yupo hapo naona mke wangu wala haoni shida yeye yupo tu

Vipi jamani nifanye nini nimuondoe huyu shemegi hapa na ugwadu mpaka natamani nichepuke au nimle huyu shemeji akikataa itakuwa ndio njia ya kuondoka mwenyewe kwasababu kuna muda wife anawahi kazini ananiacha naye

Naombeni ushauri nifanye nini imekuwa kero kubwa sana.
 
We naweee ivi kali unayo kweli mxuuu, Sasa unashindwa nn Kuhama apo.Mwache mkeo alee marafiki ww kapange ukoooo ikiezekana unavuta jiko ingine apo ndio ataelewa.NDOA NAIHEAHIMIWE
 
Pole Sana, hiyo ni changamoto inatakiwa uitatue maana wewe ni kichwa cha familia, ongea na mkeo kwamba hao rafiki zake wasije kwa sababu ninyi mnakaa chumba kimoja ingekuwa una nyumba kubwa hapo sawa.
 
Pole Sana,hiyo ni changamoto inatakiwa uitatue maana wewe ni kichwa Cha familia,ongea na mkeo kwamba hao rafiki zake wasije kwa sababu ninyi mnakaa chumba kimoja ingekuwa una nyumba kubwa hapo sawa.
Nilimuambia akasema marafiki wake wanashida sana na yeye awezi kuwafukuza ni watu wazima wenyewe kwani awaoni
 
Kwa hali kama hiyo nimevuta picha ni ngumu kuchukua maamuzi maana mke wako anaweza kukwambia huwapendi rafiki zake, kama ingekuwa upande wangu ningejaribu kumwambia swala la kulala chumba kimoja na shemela inanibana sipati mambo,,

Au kufanya safari nikatoka nikaenda kusikilizia maeneo najua mke atajua hiyo hali inanikwaza.
 
Kula mzigo wa mgeni, ukimaliza hapo kuna mawili. Mgeni ataanza kuonyesha kiburi kwa wife wako naye atashtuka hapa kuna kitu na atajiongeza kumfukuza aende kwao. Wife pia anweza kuwa analiwa huko kazini na bosi au mchepuko so kupunguza suluba za kitandani ndo maana anawaleta mashemeji kuwa kisingizio cha kutoliwa nyumbani. Pia mwambie mkeo hupendi na hutaki hiyo tabia ya kuleta kijiji nyumbani mwako. Jiongeze bosi
Mbona kazi ndogo sana mkuu
 
Asikudanganye mtu kijana, wake wote ni tatizo na wanaume wote ni tatizo, unaona tu thamani yao unajifunza kuishi nao!

Nimepata kumsiliza jirani yangu kuhusu ugomvi wake na mke wake, and nikaona ana pata shida sana!

Siku moja wakawa wanapigana, basi nikawaita wote, mke akajieleza, nikasikitika sana, the stupid Man is in deed stupid!
 
Back
Top Bottom