Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,936
- 30,051
Hapa ninapoishi kuna mke wa mpangaji mwenzangu nashindwa kabisa kumwelewa.
Mume wake ni mtu wa kurudi usiku sana kama saa nane na Mimi hua narudi kama saa sita sasa cha ajabu kila nikirudi ananifungulia huyo mwanamke kwa Tabasamu safi huku akiwa na kanga moja.
Mwanzo sikuona hii coincidence ya why yeye tu ndo awe ananifungulia mlango ila juzi nilivyotuliza akili ndo nimegundua kuna kitu anataka huyu.
Kwa mikato yake angekua hatukai nae nyumba moja ningemshughulikia lakini namuonea soo jamaa.
Nimelileta jukwaani sio kuomba ushauri bali kuwashirikisha tu mjue masaibu ninayokumbana nayo.
Mume wake ni mtu wa kurudi usiku sana kama saa nane na Mimi hua narudi kama saa sita sasa cha ajabu kila nikirudi ananifungulia huyo mwanamke kwa Tabasamu safi huku akiwa na kanga moja.
Mwanzo sikuona hii coincidence ya why yeye tu ndo awe ananifungulia mlango ila juzi nilivyotuliza akili ndo nimegundua kuna kitu anataka huyu.
Kwa mikato yake angekua hatukai nae nyumba moja ningemshughulikia lakini namuonea soo jamaa.
Nimelileta jukwaani sio kuomba ushauri bali kuwashirikisha tu mjue masaibu ninayokumbana nayo.