http://www.nigeriafilms.com/image.aspx?img=Y29udGVudC9jb250ZW50L0NocmlzLUF0dG9oMy02ODJ4MTAyNC5qcGd8NjAw[/IMG]
He looks like this guy! Tena anapenda kuvaa vizibao wee utamtaka, huwa natamani nimuwao (nimuhug) kila wakati nikimuona.
Hi guys, Jamani kuna mkaka mmoja alihamia hapa jengoni kwetu kutoka Mkoani. Huyu mkaka ni handsome aisee kwa vigezo vyangu lakini, ana features ninazozipenda. He is tall with six pack, charming, black, ukija kwenye motion ndo usiseme! Alitokea kunizoea nami nikamzoea tukawa marafiki saana almost 6 months now. Ananiamini sana kiasi kwamba kuna vitu ambavyo he suppose to tell his girlfriend to do ila huwaga ananiambia mimi ndo nifanye. Let say kumsaidia issue za TRA, Kulipia bill za maji na umeme, kupeleka document fulani mahali n.k.
I real like him, lakini ana tabia moja ambayo haifichi na wala haogopi kunisimulia kuhusu wasichana anaodate nao. Yan kila akitoka na msichana atanisimulia kama kumponda atamponda kama kumsifia atamsifia. Tatizo langu kwake, haipiti siku 3 bila kumuota though simuoti kwa majambozi.
Naumia tu kimoyomoyo, i wish nimwambie hisia zangu ila naogopa. Najiuliza je akikubali kuwa na mimi ataacha kweli tabia yake? Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.
Huyo jamaa ni muhuni.
Yaani huyo jamaa anae girlfriend, na anawanawake wengine pia, ila anakuamini wewe kwa yote na kukuambia siri zake.
Huyo jamaa anakuona ni rafiki yake, yaani hakupendi kimapenzi na wala hafikiri eti kukupenda.
Hakikukubalia basi kwa ajili yako sio yake, hao wanawake wengine ataendelea kukuambia siri zake ambazo zitakumiza moyo. Na atatafuta rafiki mwingine wa kike amuambea juu yako pia.
Nenda tu kajitaftie matatizo,
si umwambie tu jamani kwann upate presha na wakati mtu upo nae?
Kiroho Safi
umeona eeh!
hahahah!...le mutuz!...yupo na mbebs wa ukwel...ze bongo ze majangaz!..namkubal sana huyu mutu..
aje umuambie siri zako pia?mshauri aje kwangu huyo.
Kesha liwa huyu aseme tu ukweli!
sakapal i like them lipszimekaa vizuri.......... kama vile hazijawahi ku-smoke zile makitu...........![]()
hahahaa best asante ila hizi lips hapo ilikuwa kabla hazijabikiriwa na hizo makitu ukiziona sasa hivi zilivo doooh hutaamini maskio yako maana sio macho looh watu wabaya wamezigaragaza
Mweee,dem mwenyewe kikwapa kinavuja jasho kuna kazi hapo?