Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,091
- 136,613
Umemsahau Kongosho...
Shhhhhh....:tape:
Mbona watu8 ni shem wangu!?? Yaani yeye kamchukua dada yangu, na mimi nitamuoa dada yake soon!!!😎
sakapal, nilikuwa nalo la ukweli kutoka kwa al-shabaab wa Paloma (did u know she puffs too!??) sema ndo ishu za westgate zilimkimbiza nchini sijui kenda wapi tena!!!
Mwanaadamu ni mnyama na fact hio haitobadilika,na ukimtest to the maximum anaweza afanye kitu chaajabu sana just for survival mfano mzuri ni njaa au kiu....let say umestuck somewhere kati kati ya bahari unajua kabisa una kiu ya kufa mtu na ukinywa maji ya bahari una dehydrate na bado ikisha waenda kuyakimbilia na kuyanywa maji yaleyale mweh :A S 39:!Btw passionlady anazungumzia kule kula kwa yale mambo yetu flani flani si unajua tena Kaizer
MAmbo flani flani.......mmmh
Oh yeah? Safiiii! Arusha tena? Lazma ninogewe.
....Welcome darling!!
Nahisi kama tukiwa na relation urafiki utakufa. Kitu ambacho sipendi kitokee!
Hi guys, Jamani kuna mkaka mmoja alihamia hapa jengoni kwetu kutoka Mkoani. Huyu mkaka ni handsome aisee kwa vigezo vyangu lakini, ana features ninazozipenda. He is tall with six pack, charming, black, ukija kwenye motion ndo usiseme! Alitokea kunizoea nami nikamzoea tukawa marafiki saana almost 6 months now. Ananiamini sana kiasi kwamba kuna vitu ambavyo he suppose to tell his girlfriend to do ila huwaga ananiambia mimi ndo nifanye. Let say kumsaidia issue za TRA, Kulipia bill za maji na umeme, kupeleka document fulani mahali n.k.
I real like him, lakini ana tabia moja ambayo haifichi na wala haogopi kunisimulia kuhusu wasichana anaodate nao. Yan kila akitoka na msichana atanisimulia kama kumponda atamponda kama kumsifia atamsifia. Tatizo langu kwake, haipiti siku 3 bila kumuota though simuoti kwa majambozi.
Naumia tu kimoyomoyo, i wish nimwambie hisia zangu ila naogopa. Najiuliza je akikubali kuwa na mimi ataacha kweli tabia yake? Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.
Na wewe nawe una wazimu
Akuu mie nisije kubwatuka ha ha ha:smile-big:Hujambo lakini mkaka mzuri?
I am so fine,woke up very happy :smile-big::smile-big::smile-big:tukutane kitaaa!!!halafu weweeeee, haya tu..........
mimi nipo very fine........... na wewe?
It is contingent on the inability to perform of my bad boy Nyani Ngabu and my other PIC The Boss.
Are you willing to wait Arushaone?
wewe na wewe huna tofauti na wale wanaojiuza, unajua kabisa jamaa kiwembe then unataka kujipeleka, kuna wale wanyama wanaitwa kondoo au nyumbu wanapenda kufuata mkumboHi guys, Jamani kuna mkaka mmoja alihamia hapa jengoni kwetu kutoka Mkoani. Huyu mkaka ni handsome aisee kwa vigezo vyangu lakini, ana features ninazozipenda. He is tall with six pack, charming, black, ukija kwenye motion ndo usiseme! Alitokea kunizoea nami nikamzoea tukawa marafiki saana almost 6 months now. Ananiamini sana kiasi kwamba kuna vitu ambavyo he suppose to tell his girlfriend to do ila huwaga ananiambia mimi ndo nifanye. Let say kumsaidia issue za TRA, Kulipia bill za maji na umeme, kupeleka document fulani mahali n.k.
I real like him, lakini ana tabia moja ambayo haifichi na wala haogopi kunisimulia kuhusu wasichana anaodate nao. Yan kila akitoka na msichana atanisimulia kama kumponda atamponda kama kumsifia atamsifia. Tatizo langu kwake, haipiti siku 3 bila kumuota though simuoti kwa majambozi.
Naumia tu kimoyomoyo, i wish nimwambie hisia zangu ila naogopa. Najiuliza je akikubali kuwa na mimi ataacha kweli tabia yake? Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.