Huyu mkaka jamani lol

Huyu mkaka jamani lol

mwambie ukweli utazidi kuumia bure then baadaya mwezi uje name uzii wa kuvunjwa moyo hapa,matatizo engine mnajitafutia tu wenyewe
 
image.aspx


He looks like this guy! Tena anapenda kuvaa vizibao wee utamtaka, huwa natamani nimuwao (nimuhug) kila wakati nikimuona.

Karibu mukwe, huyu ni mtoto wangu wa kuzaa mwenyewe ni mtoto wa tano kwenye uzao wangu ila bado mdogo nilimpata mwaka 1982
 
Hi guys, Jamani kuna mkaka mmoja alihamia hapa jengoni kwetu kutoka Mkoani. Huyu mkaka ni handsome aisee kwa vigezo vyangu lakini, ana features ninazozipenda. He is tall with six pack, charming, black, ukija kwenye motion ndo usiseme! Alitokea kunizoea nami nikamzoea tukawa marafiki saana almost 6 months now. Ananiamini sana kiasi kwamba kuna vitu ambavyo he suppose to tell his girlfriend to do ila huwaga ananiambia mimi ndo nifanye. Let say kumsaidia issue za TRA, Kulipia bill za maji na umeme, kupeleka document fulani mahali n.k.

I real like him, lakini ana tabia moja ambayo haifichi na wala haogopi kunisimulia kuhusu wasichana anaodate nao. Yan kila akitoka na msichana atanisimulia kama kumponda atamponda kama kumsifia atamsifia. Tatizo langu kwake, haipiti siku 3 bila kumuota though simuoti kwa majambozi.

Naumia tu kimoyomoyo, i wish nimwambie hisia zangu ila naogopa. Najiuliza je akikubali kuwa na mimi ataacha kweli tabia yake? Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.
Una genye tuuuuuuuu ukibabuliwa utapoa
 
Nakushauri ujitathmini kwanza kama unampenda au unamtamani kutokana na hali yenu ya urafiki mliyonayo kwa sasa.

Mara nyingi urafiki hauzai ndoa nzuri ingawa ndiyo mwanzo wa uchumba kisha ndoa. Huwa tunajisahau sana na kudhani urafiki ni uchumba kumbe siyo.

Kuna wanaume wanaotumia story ili kupima hulka au tabia za mwanamke anakupa story kuhusu mambo ya kudu na fulani ili kukutia hofu au kuona kama utakua tayari kumshauri aache mambo hayo na madhara yake. Kama ni rafiki lazima utamshauri aachane na hiyo mambo na waweza mdokeza afanye uamuzi wa kuoa na kuwa mtu wake atakae mtumia atakavyo badala ya kuhangaika. Hapo utamsoma na kujua nini wazo lake juu ya kuoa na juu yako

Dada jitafiti, mtafiti kisha fanya maamuzi ya maisha.
 
unahitaj maombi ww! hv ushamwona m2 playboy na huwa anakwmbia lkn bdo unamtaka!!
kama hujui kufa tazama kaburi
 
wewe achakujiuza,uta...,alafu unamwagwa kiaina acha tabia yako ya kushobokea watu
 
Kuwa nae utambadilisha.....tumia kiuno chako vizuri
 
kumbe ananizeveza eeehhh, haya mentali nshaambiwa siri zako kwani kunifanya mie zoba kumbe hata sio mentali ni mtawa tena kumbe ni baba paroko, au wamekukwaza huko unaamua kupunguza machungu huku? ona sasa wanamwaga siri zako nje basi kuanzia leo mie sio mentali wako tena nimekutoa kwenye mamentali wenzangu kumbe wewe ni baba paroko akuu usinifanye nikachuma dhambi ya kuambiwa nimemvutisha bange baba paroko, bye!!!. Ila ukiendelea kufanya maombi unaweza nivuta huko parokiani ilasitakuwa mtawa nitakuwa muumini tuu looh!!


habari ndo hiyo sakapal, kijana anajitia umajinuni tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom