Huyu mkaka jamani lol

Huyu mkaka jamani lol

huyu ni wa ushii romo looh mwenake Mentor marangu mtoni hawa ni wamoja nimeshawastukia na mambo yao huwa yanafatana, ukimuona Mentor ujue @watu8 yuko pembeni.

Mmmh!!! ya kweli hayo?

Halafu naona umeirudisha tena ile makitu...this time iache hapo hapo
 
Mmmh!!! ya kweli hayo?

Halafu naona umeirudisha tena ile makitu...this time iache hapo hapo
Mentor ndo alininong'oneza kuwa wewe ni wa ushii rombo na yeye ni wa marangu mtoni sasa kama kakupakazia mshike shati mwenyewe si huyo hapo.
Afuu ukianza tuu kuizungumzia huwa inayeyuka last time nilikodolewa macho hadi nikaona aibu nikatoa, this tyme lauryn hill wangu kachukuliwa na mtu mwingine sjui anaitwa venance sijui vanessa kasema yeye anaipenda zaidi. Sasa Dark City ndo alinistua nyie mbona mnatumia id sawa ikabidi nitafute weee nimeishia hapo au kama vipi niweke hiyo ya kwako tuwe na avatar saresare ya watu8? waniruhusu?
 
Last edited by a moderator:
Wewe, sakapal, Karucee na King'asti ni kama mnaendana vile kwa mistori yenu inayovutia...

Umemsahau Kongosho...

Hehehe...mi simoooo

Shhhhhh....:tape:

huyu ni wa ushii romo looh mwenake Mentor marangu mtoni hawa ni wamoja nimeshawastukia na mambo yao huwa yanafatana, ukimuona Mentor ujue [B watu8[/B] yuko pembeni.

Mbona watu8 ni shem wangu!?? Yaani yeye kamchukua dada yangu, na mimi nitamuoa dada yake soon!!!😎

Mentali upoo?? longi aisee wacha nikapate ganja kwanza nikirudi ntakuja tufanye ule mzunguko wa feri kisha twende morocco
sakapal, nilikuwa nalo la ukweli kutoka kwa al-shabaab wa Paloma (did u know she puffs too!??) sema ndo ishu za westgate zilimkimbiza nchini sijui kenda wapi tena!!!
 
Last edited by a moderator:
Umemsahau Kongosho...

kweli bange imekubangua si buree

Shhhhhh....:tape:



Mbona watu8 ni shem wangu!?? Yaani yeye kamchukua dada yangu, na mimi nitamuoa dada yake soon!!!😎

ndo mtu na shemeji yake lenu moja, na ule mpango wenu wa lunch pale posta umeishia wapi???

sakapal, nilikuwa nalo la ukweli kutoka kwa al-shabaab wa Paloma (did u know she puffs too!??) sema ndo ishu za westgate zilimkimbiza nchini sijui kenda wapi tena!!!

daaahh nirushie mwanaa hapastimu zishapandaa bange nibangue niache bange maana mentali anataka kunipoteza al shaabaab tena? mmmmhhhhh
 
Hehehe...mi simoooo

daaah umenikumbusha mentali aliniambia mimi ni daladala ya kivukoni nikageuzie feri sasa wacha nikapate ganja nirudii bora umenikumbusha senkyu vere machee
 
Hmmmm.Mara tujikute we are messing with the same boy.

hahahaaaaa haiwezekani aisee, wa kwangu yuko mjengoni mji ulio katikati ya nchi pia soul mate wangu hana wengi ni mie tuu na (mama e....)
Ikiwa tunashare same boy daah watakuwa mapacha bana hata sitaki kuamini looh
 
Hi guys, Jamani kuna mkaka mmoja alihamia hapa jengoni kwetu kutoka Mkoani. Huyu mkaka ni handsome aisee kwa vigezo vyangu lakini, ana features ninazozipenda. He is tall with six pack, charming, black, ukija kwenye motion ndo usiseme! Alitokea kunizoea nami nikamzoea tukawa marafiki saana almost 6 months now. Ananiamini sana kiasi kwamba kuna vitu ambavyo he suppose to tell his girlfriend to do ila huwaga ananiambia mimi ndo nifanye. Let say kumsaidia issue za TRA, Kulipia bill za maji na umeme, kupeleka document fulani mahali n.k.

I real like him, lakini ana tabia moja ambayo haifichi na wala haogopi kunisimulia kuhusu wasichana anaodate nao. Yan kila akitoka na msichana atanisimulia kama kumponda atamponda kama kumsifia atamsifia. Tatizo langu kwake, haipiti siku 3 bila kumuota though simuoti kwa majambozi.

Naumia tu kimoyomoyo, i wish nimwambie hisia zangu ila naogopa. Najiuliza je akikubali kuwa na mimi ataacha kweli tabia yake? Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.

Kama ushajua tabia yake haifai Mungu akupe nini tena? Ilopo kula hamsini zako usijetendwa kama wenzako maana wenzio hawabaatiki kumjua mtu kiivo kabla ya mahusiano
 
Nilikuwaga nafagilia ka kitambi na kishkaji not any more. Ee bwana hao wanao jog asubuhi mie lazima I honk and blow them a kiss.

hahahahaaaa kweli umedata hahahaaaaa
mie nikikutana nao asubuhi huwa najidai nimedondosha pochi au novel bahati mbaya basi ile service ya kuokotewa aaahhh bichwa linakuwa kubwa kuliko gari na kisha ananishika bega baada ya kuniokotea vitu vyangu na kuniambia take care basi daahhh tabasamu tuu.....
 
sakapal i like them lips
avatar41517_19.gif
zimekaa vizuri.......... kama vile hazijawahi ku-smoke zile makitu...........
 
Jamani na uzee wangu huu nataka nianze mazoezi nitengeneze six pack maana naona hii kitu ndio dili la wadada wa mujini!
Hilo tumbo lake umelionaje wewe mtoto wa kike hadi ukajua limegawanyika mara sita???
 
Back
Top Bottom