Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
Kaizer tangia lini watu wakala watu wenzao kwani vitoweo vimeisha???Cannibalism ilitokea kwasababu ya njaa!!!!hahaha mi sijui Passion Lady. labda nimwite Dr. mimi49 atwambie kama watu wanawakula watu wenzao?
hahaha mi sijui Passion Lady. labda nimwite Dr. mimi49 atwambie kama watu wanawakula watu wenzao?[/QUOTE Kaizer tangia lini watu wakala watu wenzao kwani vitoweo vimeisha???Cannibalism ilitokea kwasababu ya njaa!!!!
mimi49 hebu msome Passion Lady apo juu anavo advocate ucannibalism! ndio maana nimekuita labda evolution?
Mwanaadamu ni mnyama na fact hio haitobadilika,na ukimtest to the maximum anaweza afanye kitu chaajabu sana just for survival mfano mzuri ni njaa au kiu....let say umestuck somewhere kati kati ya bahari unajua kabisa una kiu ya kufa mtu na ukinywa maji ya bahari una dehydrate na bado ikisha waenda kuyakimbilia na kuyanywa maji yaleyale mweh :A S 39:!Btw passionlady anazungumzia kule kula kwa yale mambo yetu flani flani si unajua tena Kaizermimi49 hebu msome Passion Lady apo juu anavo advocate ucannibalism! ndio maana nimekuita labda evolution?
Duh! Hata wewe umependeza. Nilifikiri utaandika hoja yangu ni nzuri . . . lol
Wasalimie ukoo wenu wa Ma-Lady . . . .
Kidnapped yes.But they didnt get to bind me. You wanna
bind me NN? If so, Then what?
nawe ungekuwa mrembo wala hata usingekuja kuomba ushauri huku! jamaa anaona huendani naye!
Sasa hilo unalipataje mkuu??
Ukoo wetu uko gado!!
wewe unategemea kulipwa fadhila???
be honest..........
Nyani Ngabu are you game?mnhhhhh....
if he cant...try me ....
Nyani Ngabu are you game?
best Watu 8 ujue nimekumis sana!
Nafikiri mi mshamba 6 pack ndio nini best!
hiyo ni RISKHi guys, Jamani kuna mkaka mmoja alihamia hapa jengoni kwetu kutoka Mkoani. Huyu mkaka ni handsome aisee kwa vigezo vyangu lakini, ana features ninazozipenda. He is tall with six pack, charming, black, ukija kwenye motion ndo usiseme! Alitokea kunizoea nami nikamzoea tukawa marafiki saana almost 6 months now. Ananiamini sana kiasi kwamba kuna vitu ambavyo he suppose to tell his girlfriend to do ila huwaga ananiambia mimi ndo nifanye. Let say kumsaidia issue za TRA, Kulipia bill za maji na umeme, kupeleka document fulani mahali n.k.
I real like him, lakini ana tabia moja ambayo haifichi na wala haogopi kunisimulia kuhusu wasichana anaodate nao. Yan kila akitoka na msichana atanisimulia kama kumponda atamponda kama kumsifia atamsifia. Tatizo langu kwake, haipiti siku 3 bila kumuota though simuoti kwa majambozi.
Naumia tu kimoyomoyo, i wish nimwambie hisia zangu ila naogopa. Najiuliza je akikubali kuwa na mimi ataacha kweli tabia yake? Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.
hiyo ni RISK sio rahis kwa mwanaume zaidi ya miaka 18 kubadilisha tabia zakeHi guys, Jamani kuna mkaka mmoja alihamia hapa jengoni kwetu kutoka Mkoani. Huyu mkaka ni handsome aisee kwa vigezo vyangu lakini, ana features ninazozipenda. He is tall with six pack, charming, black, ukija kwenye motion ndo usiseme! Alitokea kunizoea nami nikamzoea tukawa marafiki saana almost 6 months now. Ananiamini sana kiasi kwamba kuna vitu ambavyo he suppose to tell his girlfriend to do ila huwaga ananiambia mimi ndo nifanye. Let say kumsaidia issue za TRA, Kulipia bill za maji na umeme, kupeleka document fulani mahali n.k.
I real like him, lakini ana tabia moja ambayo haifichi na wala haogopi kunisimulia kuhusu wasichana anaodate nao. Yan kila akitoka na msichana atanisimulia kama kumponda atamponda kama kumsifia atamsifia. Tatizo langu kwake, haipiti siku 3 bila kumuota though simuoti kwa majambozi.
Naumia tu kimoyomoyo, i wish nimwambie hisia zangu ila naogopa. Najiuliza je akikubali kuwa na mimi ataacha kweli tabia yake? Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.