Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,412
- 104,847
Kama ni Dar, ungemuita mwanaume akusaidie hakika angegoma kuja wallah....Mwili umesisimka. Namuogopa huyo mdudu. Nishamuona kwangu kama mara 2. Nashukuru Mungu hajawahi kuning'ata ila siwezi kulala mpaka nihakikishe amekufa

