Huyu mdudu anaitwaje?

Huyu mdudu anaitwaje?

Duuu!juzi tu nimelala fofooo!!niikastuka kitu kinatembea miguuni kuwasha taa bamuona huyo mdudu anasepamtu mzima niliruka utadhani nimemuona nyoka
 
Yah nahisi ni kweli, kama umekaa umetulia ivi hakuumi ata kama anatembea kwenye mwili hata kama utamuondosha kwa mkono na akawa bado yupo katika mwili haumi, huyu nahisi anauma pale unapombonyeza kwa nguvu kiasi cha kuhatarisha uhai wake ndio ana respond. Nilishukuru mana nlikuwa na waza sijui kama ningekufa siku hio 😀 😀 😀
Nasikia kule mkiani ndiko anatumia kukumia sio!
 
Huwa anauwezo wa kuua panya na kuwala, huyo ni tandu
 
Kuna mwenzao mmoja aliwahi kuuwa kicheche.... Basi akakuja humu jf na boonge la heading eti "Wana jamvi, leo nimepambana kiume na mpambano haukua wa nchi hii" alafu mwisho akaweka na picha ya marehem....
Afadhali nmekuona tena mkuu!
 
Tatizo watu mlikimbia sayansi hata ndogo tuu .Kasome characteristics za pylum Myriapoda na class chilopoda utapata majibu
 
Habari wakuu,

Hapa nnapo ishi nimekutana na hawa wadudu mmoja ni mkubwa balaa na mwingine ni mdogo kama huyu, sasa nauliza hawa wadudu wanaitwaje je wanauma na akikuuma dawa yake ni nini na njia ya kuwazuia ni ipi.Nimewakuta wawili wapo karibu na shimo la maji machafu wanakula mende.

View attachment 696000
Hawachelewi kuja kukuambia kwamba uyo mdudu akikuuma kupona hadi ujiunge darasa la forex.
 
Afadhali nmekuona tena mkuu!
Itapendeza kama hiyo afadhali niya kheri comrade.... maana tangu nimerudi humu humu jf naona mambo yanebadilika sana kwa members kujadili personal life's
 
Itapendeza kama hiyo afadhali niya kheri comrade.... maana tangu nimerudi humu humu jf naona mambo yanebadilika sana kwa members kujadili personal life's
Hahahaa...ya kheri kweli kabisa mkuu!! Kuna vitu nilivimiss humu jf
 
Kuna mwenzao mmoja aliwahi kuuwa kicheche.... Basi akakuja humu jf na boonge la heading eti "Wana jamvi, leo nimepambana kiume na mpambano haukua wa nchi hii" alafu mwisho akaweka na picha ya marehem....
huyo atakuwa wa dar
 
huyu mdudu ana speed balaa na anamlio fulani kila anapopita
 
Back
Top Bottom