cleaner wrasse
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 9,055
- 10,047
Tandu
Yani nikiona mende uwiii. Bora panya sio mende wala jongoHaahaa wanawake wengi ndo mko hivyo, sema me ndio nawapenda wanawake wa hivyo, yaani pale mwanamke anaposisimka eti sababu kaona mende, aah me hoi kabisa!!![]()
![]()
![]()
Basi ungeniita nikuje nilale na wewe hapo kama mlinzi wallah.....![]()
![]()
![]()





. Labda ningekuja kulala kwako. Kwangu tungelalaje kuna mdudu ndani?A.k.a Ndugu yake Ng'e (Scorpion)Tandu aka centipede
😀 😀 😀huyo ni mende pori...no, ni tandu, mpuuzi tu kwetu akikuuma unajikata ulipoumwa, unamchoma jivu lake unajipa kesi imeisha
Kwangu hao wadudu wapo wengi sana comrade, sasa ukiongeza na huyu mdudu mmoja mwenye namfuga ndio ingekua tafran wallah...... Labda ningekuja kulala kwako. Kwangu tungelalaje kuna mdudu ndani?

Kwangu hao wadudu wapo wengi sana comrade, sasa ukiongeza na huyu mdudu mmoja mwenye namfuga ndio ingekua tafran wallah.....![]()
![]()
![]()








huyo unaemfuga ndo mdudu hatari zaidiHuyu ninae mfuga yupo very friendly and polite, yaani my mdudu is very humble like you can't believe haki....huyo unaemfuga ndo mdudu hatari zaidi

Duu 😀 😀 😀 . Naona huko mnapoelekea mada inazidi ku change.Huyu ninae mfuga yupo very friendly and polite, yaani my mdudu is very humble like you can't believe haki....![]()
![]()
![]()
![]()
Hatuelekei pasipo julikana Comrade, hapa tunamjadili mdudu ambae mleta uzi wa Dar amesema amemuua na kuna mwingine ni mkubwa sana hadi anaogopa kulala ndani leo...Duu 😀 😀 😀 . Naona huko mnapoelekea mada inazidi ku change.

😀 😀 😀Hatuelekei pasipo julikana Comrade, hapa tunamjadili mdudu ambae mleta uzi wa Dar amesema amemuua na kuna mwingine ni mkubwa sana hadi anaogopa kulala ndani leo...![]()
![]()
Sasa mkuu, hao wadudu huku mikoani sisi wanatuuma kila siku na hatuleti thread humu, ujue hawa wanaume wa Dar ni wahovyo sana aiseeeee......
Kuna mmoja alionaga panya kaingia ndani kwake, eti akagoma kulala na mwisho akaleta uzi humu kwamba atamuuwaje huyo panya eti kwasababu anamuogopa....![]()
![]()
![]()
Hapana. Nasikia sumu yake ni mbaya sana.Huyu ninae mfuga yupo very friendly and polite, yaani my mdudu is very humble like you can't believe haki....![]()
![]()
![]()
![]()
Hatuelekei pasipo julikana Comrade, hapa tunamjadili mdudu ambae mleta uzi wa Dar amesema amemuua na kuna mwingine ni mkubwa sana hadi anaogopa kulala ndani leo...![]()
![]()
Sasa mkuu, hao wadudu huku mikoani sisi wanatuuma kila siku na hatuleti thread humu, ujue hawa wanaume wa Dar ni wahovyo sana aiseeeee......
Kuna mmoja alionaga panya kaingia ndani kwake, eti akagoma kulala na mwisho akaleta uzi humu kwamba atamuuwaje huyo panya eti kwasababu anamuogopa....![]()
![]()
![]()




Hakuna rekodi ya binadam aliyewai kufa baada ya kunga'twa na hilo duduUmeambiwa wako wa aina nyingi.. Wote uliwajaribu ukajua sumu zao haziui??
Haijwai kuripotiwa mtu kufa baada ya kung'atwa na tanduUkweli ni upi mkuu!!!em ingia Google msome ni wa aina gani halafu uje tena hapa kubisha.ndiyo sio wote ni hatari kwa maisha ya binadam ila kuna ambao ni hatari mno.
MythHuyo mdudu akikuuma kadri anavyo tembea ndivyo sumu inasambaa mwilini