Huyu mdada ananiweka sana...

Huyu mdada ananiweka sana...

Wewe ndie huyo kwenye avatar yako? Nipe jibu nijue tatizo liko wapi.
 
Sasa unakwama wapi jombaa, izo hela na huduma unazo mfanyia sasahiv zitakuja kukutesa sana kimawazo siku akikupiga chini na mzigo hujala we fanya hivi hata kama uko vizuri kufedha kata mfeleji wa kumpa hela alafu punguza shobo usimtafute mda wote sms jibu short short yan kama anakupenda lazima atakulalamikia kua umebadilika akitaka kujua tatizo nini, hapo sasa funguka mwambie huwezi kua na mtu asijali hisia zako, mzee kama anakupenda atakuletea papuchi mda huo huo. Ila mzee nawewe ni mzito yani dem dem anakuja anafua unamuangalia tuu?
 
Sasa unakwama wapi jombaa, izo hela na huduma unazo mfanyia sasahiv zitakuja kukutesa sana kimawazo siku akikupiga chini na mzigo hujala we fanya hivi hata kama uko vizuri kufedha kata mfeleji wa kumpa hela alafu punguza shobo usimtafute mda wote sms jibu short short yan kama anakupenda lazima atakulalamikia kua umebadilika akitaka kujua tatizo nini, hapo sasa funguka mwambie huwezi kua na mtu asijali hisia zako, mzee kama anakupenda atakuletea papuchi mda huo huo. Ila mzee nawewe ni mzito yani dem dem anakuja anafua unamuangalia tuu?
mkuu huyu binti najua hanipendi na anajua matatizo yangu, anajua akimla ntamuacha, na hanipendi maana nmeanza kmtongoza toka 2018 sina kitu alkua anazingua hivi hvi baada ya kuona kuna uhakka wa cash ndo kidogo anasogea, ila kiukweli kabisa m nataka nmle nipite kushoto, ila ngoja ngoja zmekua nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na quote:
'ana sura ya kitoto japo age inasoma 20 years'.
Aisee, si Ni katoto haka bado?

So sisi wenye baby face na Ni 35+ si ndo vibibi kabisa?
 
Na quote:
'ana sura ya kitoto japo age inasoma 20 years'.
Aisee, si Ni katoto haka bado?

So sisi wenye baby face na Ni 35+ si ndo vibibi kabisa?
Madam huyu kijana anaonekana ana tatizo kibwa zaidi.....we msome tu maelezo anayoyaongeza
 
Kuna mwamba anakura bila hata kuacha shing mia afu we unajiona unapendwa anachotaka hpo akipata mimba aje akutegeshee ndio anakupa chini hpo mtahudumia wawili hio mimba then nayure ambaye anampenda lkn anakura bure itabid amweleze naye ataanza kutoa pesa mwisho dem anawapanga mimba ime choropoka
 
Dawa ya mwanamke mwanamke mwenzie. Muonyeshe siku moja kuwa anachokubania unaweza kukipata kwa mtu mwingine ukiamua. Na muonyeshe ni jinsi gani asipokuwa makini atakupoteza. Mwenyewe ataachia uchi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbinu ya kibaharia sana hii. Usimwonyeshe kama unamtegemea yeye tu. Jaribu kuwa busy na simu ukiwa nae akikuuliza kwa nini mweleze kuwa umeshindwa kusubiria na unatafuta mtu mwingine. Au jaribu kumkumbatia muda mrefu yaani Zaidi ya dk 5 au 10 wala usilazimishe madenda. Demu akianza kupata joto tu na akisikia dude lilivyosimama anaingia simanzi na kunyegereka
 
Kumbe sababu ni kwamba yuko kwenye uzazi.bado maumbile yake hayawa tayari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom