Huyu mdada ananiweka sana...

Huyu mdada ananiweka sana...

Kwanza huyo tayari anakuona kama mwanamke mwenzake,ndo maana anakupa mpk vyupi vyake umshikie kwa kua akijua hauna madhara kwake na huku akiendelea kula hela zako mana cha mjinga huliwa na mwerevu.
 
Umegoma na kutaja jkt uliyopitia ili wahusika waifanyie marekebisho hii sio hali ya kawaida kwa tuliopitia jkt
 
jamaa alokua nae kampa mimba inaelekea dogo aliendq kuflash, kimimba kidogo, sasa pale ndo hawakuelewana na jamaa ake ikabidi waachane n mda kama miezi minne, dogo alisaidiwa na dada ake ata wazazi hawajui, alivoenda kutoa alkutwa na matatizo mengne so akasafishwa, yy anachodai hajakomaa na pia anaitaji mda kutulia

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama anakupenda atakupa ata romance mkuu......Tena ata ukimwambia mpige oral sex atakubali tuu awezi kukuacha uteseke kwa hisia
 
Kama kichwa cha habari kinavosomeka, mwaka 2018 nilikuatana na mdada flani JKT Kambi flani baada ya Form 6, Mungu si Athumani tupo wote mkoa mmja.

Tuliendelea kuwasliana mdada ni mwembamba kiasi, ni mzuri haswa ana sura ya kitoto japo age yake inasoma 20 yrs, binafisi nilmpenda sana, ila alikua na mahusiano.

Yote ya yote wameachana na mtu wake anachoniambia akitaka kumkabidhi mtu moyo basi atanikabidhi mimi, kila siku jioni tuonaonana, nampa nguo anafua, anapapenda sana na ninapokaa anasema ni pazuri sana.

Akiwa na mambo yake ananiambia imefkia hatua ananiagiza hadi chupi, ila tatizo hataki anasema nimsubilie akitaka kuingia kwenye mahusiano, kuna mambo yalimtokea japo alinismulia ila sasa kaka karibia nakata tamaa.

Hela ya kula hainipgi chenga Mungu anajalia, akihitaji hata 50k, nampa mda huo huo na hela naitafuta na anajua nina hela japo sio kivile na mpenzi sina maana maisha yangu ni ya kutafuta, ila huyu msichana nitamkosa kisa kukata tamaa japo yeye ndo ananiamsha kila siku. Ntamkatia tamaa japo ni mzuri
Bwanamdogo, nimekuita hvo coz mie /sis ndo tulikuwa intake ya kwanza kwenda JKT kwa mujibu wa sheria 2013.
Ushauri wangu, Fanya acting!
Tafuta mdada mweleze scenerio nzima, avunge ni gf wako, mpange aje magetton kwako, Then mwambie huyo mdada wa JKT aje kwako, wakikutana hapo ndani we kuwa jasiri, mtabulishe huyo gf wako wa bandia kwa huyo wa JKT then uchek reaction yake, akiwa normal tu na ukaendelea kuwasliana nae kama awali baada ya tukio.....hahahahaa ujue huyo wa JKT hakukubali hata kidogo ko ni kustisha huduma zote awe mshkaj tu, ila akimind basi weka kila kitu clear mwambie hyo yote ni acting kujua kinachoendelea. Ila kuwa gentleman ndo unaweza mambo haya.
 
jamaa alokua nae kampa mimba inaelekea dogo aliendq kuflash, kimimba kidogo, sasa pale ndo hawakuelewana na jamaa ake ikabidi waachane n mda kama miezi minne, dogo alisaidiwa na dada ake ata wazazi hawajui, alivoenda kutoa alkutwa na matatizo mengne so akasafishwa, yy anachodai hajakomaa na pia anaitaji mda kutulia

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe wajinga na matahira yapo mengi. Yan kama kilichokua ndan ya mwili wake alishindwa kuishi nacho ww ulie nje ya mwili wake ndo ataweza kukuvumilia kweli? Huyo yupo kwako kimasilahi tu sio mwanamke mzuri kabsaaa kama alipata ujasiri wa kuua kilichoko tomboni kwake jua akoswi ujasiri wa kukulia ela zako ata kuja kukufanyia jambo baya
 
Kama kichwa cha habari kinavosomeka, mwaka 2018 nilikuatana na mdada flani JKT Kambi flani baada ya Form 6, Mungu si Athumani tupo wote mkoa mmja.

Tuliendelea kuwasliana mdada ni mwembamba kiasi, ni mzuri haswa ana sura ya kitoto japo age yake inasoma 20 yrs, binafisi nilmpenda sana, ila alikua na mahusiano.

Yote ya yote wameachana na mtu wake anachoniambia akitaka kumkabidhi mtu moyo basi atanikabidhi mimi, kila siku jioni tuonaonana, nampa nguo anafua, anapapenda sana na ninapokaa anasema ni pazuri sana.

Akiwa na mambo yake ananiambia imefkia hatua ananiagiza hadi chupi, ila tatizo hataki anasema nimsubilie akitaka kuingia kwenye mahusiano, kuna mambo yalimtokea japo alinismulia ila sasa kaka karibia nakata tamaa.

Hela ya kula hainipgi chenga Mungu anajalia, akihitaji hata 50k, nampa mda huo huo na hela naitafuta na anajua nina hela japo sio kivile na mpenzi sina maana maisha yangu ni ya kutafuta, ila huyu msichana nitamkosa kisa kukata tamaa japo yeye ndo ananiamsha kila siku. Ntamkatia tamaa japo ni mzuri
Hapo kuna mtu unamtunzia wife jiongeze man. Ila inawezekana ndo kipaji chako cha kulea tu tusilaumu sana,
 
jamaa alokua nae kampa mimba inaelekea dogo aliendq kuflash, kimimba kidogo, sasa pale ndo hawakuelewana na jamaa ake ikabidi waachane n mda kama miezi minne, dogo alisaidiwa na dada ake ata wazazi hawajui, alivoenda kutoa alkutwa na matatizo mengne so akasafishwa, yy anachodai hajakomaa na pia anaitaji mda kutulia

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndo umezidi kuzingua mkuu bora hata usingesema .Afya yake imetetereka kisa abortion jitahidi mkuu akiwa sawa watarudiana tena wewe sijui utajiweka wap
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom